Serikali Tuachieni wana CCM tupambane na TEC

Serikali Tuachieni wana CCM tupambane na TEC

Hao wanaijua siasa ya Dunia nzima na taarifa za kiintelijensia za Dunia.Nyie wajinga wa CCM akili ndogo sana!
Hiyo ni "indoctrination " complexity nikuwekee hapa tafsiri yake kwa kimombo


/ɪnˌdɒktrɪˈneɪʃn/



noun

the process of teaching a person or group to accept a set of beliefs uncritically.

"prisoners are subjected to brainwashing, indoctrination, and punishment"

ARCHAIC

teaching; instruction.

"methods that were approved for indoctrination in divinity"



Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Umezaliwa mwaka gani wewe?. Waulize baba zako nchi imetoka wapi hii siyo sasa hivi mmevimbiwa uhuru mnaachia hewa hovyo tu.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Suala sio miaka , suala ni marifa na mipango thabiti, ndio maana Mark Zuckerberg mwenye miaka 39 ni tajiri mkubwa kushinda Tanzania yenye miaka 60 ya uhuru, ccm ni failures of all time , zero plan, wana fanya majaribio ya maendeleo kila mwaka, kung'ang'ania vitu vidogo vidogo visivyo na tija, uwezo mdogo wa viongozi, poor thinking capacity, kuwaza kupeleka watu polisi kila mara, very small minds, kuwaza kuiba 24/7, cha ajabu sasa hata mkiiba pesa hazionekani mnafanyia nini, hatuoni hata investments za wana siasa za maana Tanzania, ccm ni laana.
 
Naishauri Serikali yangu isihangaike na TEC; hili suala tungeachiwa CCM tunajua fitina za kushughulika na hawa watu sisi ndio chama Dume tuliyopigania na kudumisha uhuru wa nchi hii kwa miaka zaidi ya 60.

Maendeleo mnayoyaona hayakuja kwa bahati mbaya ni mipango madhubuti ya Chama Cha Mapinduzi. Hili suala tuachiwe sisi naona kama serikali itajipa majukumu mepesi wakati mambo ya kufanya ni mengi.

CCM Oyeee.
Hivinyie Ccm mna dini yenu? Maana hamuachi kuongea ujinga.
 
Naishauri Serikali yangu isihangaike na TEC; hili suala tungeachiwa CCM tunajua fitina za kushughulika na hawa watu sisi ndio chama Dume tuliyopigania na kudumisha uhuru wa nchi hii kwa miaka zaidi ya 60.

Maendeleo mnayoyaona hayakuja kwa bahati mbaya ni mipango madhubuti ya Chama Cha Mapinduzi. Hili suala tuachiwe sisi naona kama serikali itajipa majukumu mepesi wakati mambo ya kufanya ni mengi.

CCM Oyeee.

Maendeleo tunayoyaona hayaendani na umri wa uhuru tulionao
 
Back
Top Bottom