Sir John Deere
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 14,222
- 27,443
- Thread starter
- #401
Jiandaeni na huku mabadiliko yanakuja lazima muyapokee.Hata USA pia walishindwa kuwazuia Jesuits, Lincoln alijaribu kupambana na Jesuits akaishia kupigwa risasi. China dini nyingi zimeshindwa kuingia lakini Jesuits walijipenyeza hata kuwa msaaada kwenye mambo yao ya uchumi.