Nyamizi
Platinum Member
- Feb 19, 2009
- 9,185
- 13,760
Na wala hashangai kwa nini wengine wamebaki kutoa mafumbo ya tusichanganye dini na siasa,lakini ujasiri wa kuwasema moja kwa moja TEC hana.Upambane na TEC? unaijua TEC wewe!! tulizeni akili kwenye mambo magumu yanayowazidi kimo