Serikali Tuachieni wana CCM tupambane na TEC

Serikali Tuachieni wana CCM tupambane na TEC

Unapoteza muda wako .ukishindwana nao jiunge nao.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
1692520540562.png
 
Umeusoma walaka lakini? Wakanushe vipengere Ivo walivo discuss sio habar za dini
Waknushe mara mbili,mbina ndio hivyo vifungu Mwabukusi walimtuma apeleke mahakamani nae akashindwa?

Kinachofanywa hapa ninudini wala sio vifungu
 
Wewe ni mbumbumbu wa kuzaliwa. Mahakama ilitamka wazi kuwa mkataba una kasoro nyingi, ila yenyewe mahakama haina uwezo uwezo wa kubadilisha maamuzi ya mahakama.

Sijui kwa nini ninyi nyote mnaoutetea huo mkataba ni watu wenye upeo na akili ndogo.
Huyo mjunga ana tabia ya kusambaza uongo wake akipigwa maswali mawili matatu anapotea ghafla kama zimwi.
 
Ndani ya CCM TEC wamo pia. Utafanya fitina gani wasiijue?
 
Hivi unajua hata mbowe unaemtegemea sana yupo CCM?

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Orodha ya viongozi waliondani ya CCM ambao wanatii maagizo ya TEC:
1. Ndugu Daniel Godfrey Chongolo
2. Anamringi Issay Macha
3. Dkt. Philip Isidor Mpango
4. Ndugu Sofia Edward Mjema
5. Dkt. Tullia Ackson
6. Ndugu Mary Pius Chatanda
7. Ndugu Mizengo Kayanza Peter Pinda
8. Ndugu Naziri Mustafa Karamagi

Orodha ni ndefu sana.

Wewe mbutwe mbutwe uje utuletee mbwembwe hapa.
 
Naishauri Serikali yangu isihangaike na hako kakikundi ka wanaojiita TEC hili suala tuangeachiwa CCM tunajua fitina za kushughulika na hawa watu sisi ndio chama Dume tuliyopigania na kudumisha uhuru wa nchi hii kwa miaka zaidi ya 60. Maendeleo mnayoyaona hayakuja kwa bahati mbaya ni mipango madhubuti ya Chama Cha Mapinduzi. Hili suala tuachiwe sisi naona kama serikali itajipa majukumu mepesi wakati mambo ya kufanya ni mengi.

CCM Oyeee.
Chongolo hajapewa waraka ausome tena kwa sauti parokiani kwake? [emoji1787]
 
Wewe utakuwa muislamu hujui mfumo wa Katoliki ulivyo.Askofu katoliki akitamka kitu.hakuna muumini wa kumuambia fyoko bila kujali ana cheo gani ndani ya CCM Bunge au mahakama au Jeshi lolote
Fuatilia nini kinaendelea kanisa la roman Buhongwa Mwanza baada ya paroko kuwanyang'anya maduka waumini wa awali na kurekebisha mkataba wa pango. Hii nchi kila mtu anaangalia masrahi yake so utaamua kumsikiliza au kutomsikiliza kiongozi kwa kutegemea amelinda au ameathiri vp masrahi yako. Hao hao waumini kama wanafaidika na bandari hawatokaa wawaelewe mapdre wao na kama hawafaidiki its obvious watawasikiliza.
 
Naishauri Serikali yangu isihangaike na hako kakikundi ka wanaojiita TEC hili suala tuangeachiwa CCM tunajua fitina za kushughulika na hawa watu sisi ndio chama Dume tuliyopigania na kudumisha uhuru wa nchi hii kwa miaka zaidi ya 60. Maendeleo mnayoyaona hayakuja kwa bahati mbaya ni mipango madhubuti ya Chama Cha Mapinduzi. Hili suala tuachiwe sisi naona kama serikali itajipa majukumu mepesi wakati mambo ya kufanya ni mengi.

CCM Oyeee.
Ivi chawa wanaakili ya kujibu hoja zilizopo kwenye huwo waraka?.
 
Back
Top Bottom