Serikali Tuachieni wana CCM tupambane na TEC

Serikali Tuachieni wana CCM tupambane na TEC

Mimi ningekuoneni ccm wajanja kama mkibadili figisu kuwa maendeleo, tatizo mna chagua average presidents miaka yote , foreign investments ni nzuri kukuza uchumi wa nchi lakini hauondoi umasikini kwa asilimia kubwa kama kukuza sector ya kilimo na viwanda, una takiwa uuze bidhaa zaidi nchi za nje kuliko kununua bidhaa, vijana wapate ajira kwa wingi kwa kushiriki katika sector za uzalishaji sio kuwa chawa tu , narudia tena hata mkibinafsisha bandari miaka 10000 hakuna maendeleo mtakayo pata nyie vichwa tikitimaji ccm.
Umezaliwa mwaka gani wewe?. Waulize baba zako nchi imetoka wapi hii siyo sasa hivi mmevimbiwa uhuru mnaachia hewa hovyo tu.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
mkifa mnazikwa na hao hao TEC, mmesahau dhihaka mliyofanyiwa kwa magufuli, yule yule askofu waliyekuwa wanasema sio raia wakamnyang'anya na passport ndiye aliyekuja kumzika. mjifunzege kupitia makosa yenu basi.
Tajiri hanuniwi wewe. CCM ndio Chama Dola tutakufa na watakuja kutuzika tena maaskofu siyo hivi vipadre uchwara vilevi vya pombe za reja reja.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Naishauri Serikali yangu isihangaike na TEC; hili suala tungeachiwa CCM tunajua fitina za kushughulika na hawa watu sisi ndio chama Dume tuliyopigania na kudumisha uhuru wa nchi hii kwa miaka zaidi ya 60.

Maendeleo mnayoyaona hayakuja kwa bahati mbaya ni mipango madhubuti ya Chama Cha Mapinduzi. Hili suala tuachiwe sisi naona kama serikali itajipa majukumu mepesi wakati mambo ya kufanya ni mengi.

CCM Oyeee.
Hao unaogombana nao ndiyo walimsomesha Mwalimu Nyerere na kumpa miongozo ya kudai Uhuru wa Tanganyika.
 
Kama ni kiongozi basi wewe ni kiongozi wa ovyo sana.
Maendeleo gani unayoongelea?
Tangu 1961 tulipopata uhuru bado matatizo ni yale yale. Maji, matundu ya choo, madawati, madawa, umeme, madarasa n.k
Wewe mtoto wa juzi huelewi hii nchi imetoka wapi waulize baba zako.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23] Muulize subwoofer Leo alikuwepo kanisani anasikiliza hoja kwa makini, nadhani kunakitu kimeingia vizuri kichwaki kwake.
Vinginevyo tingisha bichwa kidogo alafu jiulize hii nguvu kubwa ya kuupinga huo mkataba mbovu inatokea wapi ndio utajua ujui.

Iviumejiuliza uliwezaje kuvuja?.
TEC hawapingi mkataba wana agenda ya siri ya kuufitinisha utawala wa CCM sasa watajuta kuuvamia mtumbwi wa vibwengo.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Ngoja mbowe akusikie ufukuzwe uanachama. Wenzako wanakula kupitia kura wewe unaleta makasiriko shauri yako utakufa na njaa zako.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Nifukuzwe uanachama kwani mimi ni mwanachama? Wao kama chama wanaweza kushiriki wapendavyo, lakini tunaojitambua hatuna muda wa kwenda tena kupanga mstari kwa chaguzi hizi za kishenzi.
 
Naishauri Serikali yangu isihangaike na TEC; hili suala tungeachiwa CCM tunajua fitina za kushughulika na hawa watu sisi ndio chama Dume tuliyopigania na kudumisha uhuru wa nchi hii kwa miaka zaidi ya 60.

Maendeleo mnayoyaona hayakuja kwa bahati mbaya ni mipango madhubuti ya Chama Cha Mapinduzi. Hili suala tuachiwe sisi naona kama serikali itajipa majukumu mepesi wakati mambo ya kufanya ni mengi.

CCM Oyeee.
Wewe kwa akili zako za kinyamlenge unaweza kubishana na TEC?Ushuzi wa ngomani wewe!
 
Naishauri Serikali yangu isihangaike na TEC; hili suala tungeachiwa CCM tunajua fitina za kushughulika na hawa watu sisi ndio chama Dume tuliyopigania na kudumisha uhuru wa nchi hii kwa miaka zaidi ya 60.

Maendeleo mnayoyaona hayakuja kwa bahati mbaya ni mipango madhubuti ya Chama Cha Mapinduzi. Hili suala tuachiwe sisi naona kama serikali itajipa majukumu mepesi wakati mambo ya kufanya ni mengi.

CCM Oyeee.
Mb........bwaawewe unaweza shindanisha TEC na nyau chichi





Emuuuu....,TEC hoyee, kunyweni bia
 
Nifukuzwe uanachama kwani mimi ni mwanachama? Wao kama chama wanaweza kushiriki wapendavyo, lakini tunaojitambua hatuna muda wa kwenda tena kupanga mstari kwa chaguzi hizi za kishenzi.
Sasa mbona kama unapoteza calories tu hapa huna msaada kwa nchi yako wala chama unachokisapoti. Wewe ni kama msafiri anaesubiri meli uwanja wa ndege.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
pambana kwanza na ugonjwa wa kuwapa sadaka ukiweza na hilo utaweza unachoma nguo uliyoivaa mwenyewe?
 
Back
Top Bottom