Serikali Tuachieni wana CCM tupambane na TEC

Serikali Tuachieni wana CCM tupambane na TEC

Nchi ina rasilimali kila aina na bado masikini na viongozi wake wanajisifu wanaongoza hii nchi.
Inaenda wapi nchi bado masikini sana hii.
Tangu uhuru matatizo ni yale yale matundu ya choo, maji, umeme, madawa, barabara na madawati.
Bwanamdogo ni rahisi sana kuongea unayoyasema lakini baba zako wanajua tumetoka wapi na sasa tupo wapi. Subiri sasa hii inayokuja kubwa kuliko zote Reform and Rebuilding ya mama Samia mtakubali tu.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Wewe kila siku unalalamika umeporwa uchaguzi. Umechukua hatua gani?

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Silalamiki naweka record sawa. Hatua nilizochukua ni kutaka machafuko ili chama la majizi liwe historia, ama jeshi kupindua serikali ya wezi hatimaye tuanze zama mpya za kiutawala hapa nchini kwa katiba ya wananchi.
 
Silalamiki naweka record sawa. Hatua nilizochukua ni kutaka machafuko ili chama la majizi liwe historia, ama jeshi kupindua serikali ya wezi hatimaye tuanze zama mpya za kiutawala hapa nchini kwa katiba ya wananchi.
Hahaha unataka machafuko hapa JF au nchini 🤣🤣
 
Naishauri Serikali yangu isihangaike na TEC; hili suala tungeachiwa CCM tunajua fitina za kushughulika na hawa watu sisi ndio chama Dume tuliyopigania na kudumisha uhuru wa nchi hii kwa miaka zaidi ya 60.

Maendeleo mnayoyaona hayakuja kwa bahati mbaya ni mipango madhubuti ya Chama Cha Mapinduzi. Hili suala tuachiwe sisi naona kama serikali itajipa majukumu mepesi wakati mambo ya kufanya ni mengi.

CCM Oyeee.
Hizi sofa za kujibebea milaana zitakutokea piano...unatoka pambana na viongozi wa dini?? Wewe nikiongozi wa majini?? Tuliza kiherehere usitafute laana itembee na watoto mpaka wajikuu kwasiasa uchwara
 
Naishauri Serikali yangu isihangaike na TEC; hili suala tungeachiwa CCM tunajua fitina za kushughulika na hawa watu sisi ndio chama Dume tuliyopigania na kudumisha uhuru wa nchi hii kwa miaka zaidi ya 60.

Maendeleo mnayoyaona hayakuja kwa bahati mbaya ni mipango madhubuti ya Chama Cha Mapinduzi. Hili suala tuachiwe sisi naona kama serikali itajipa majukumu mepesi wakati mambo ya kufanya ni mengi.

CCM Oyeee.
Unataka kutuaminisha kuwa huu mkataba wa DPW niwaccm na si wa watanzania wate?

Mbona ukipingwa tu, CCM na vibaraka wake wanajitetea sana kuliko kutoa majibu ya maswali yanayoulizwa?

TEC wametoa maoni yao kuhusu mapungufu yaliyopo kwenye mkataba, sasa kilichopo toeni majibu ya maswali yaliyoulizwa na si kukusema maendeleo yameletwa na ccm.
 
Unataka kutuaminisha kuwa huu mkataba wa DPW niwaccm na si wa watanzania wate?

Mbona ukipingwa tu, CCM na vibaraka wake wanajitetea sana kuliko kutoa majibu ya maswali yanayoulizwa?

TEC wametoa maoni yao kuhusu mapungufu yaliyopo kwenye mkataba, sasa kilichopo toeni majibu ya maswali yaliyoulizwa na si kukusema maendeleo yameletwa na ccm.
Maswali yamejibiwa na Mahakama Kuu imetoa Go ahead kuendelea na mchakato, Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeridhia sasa hako kakikundi kanakojitoa kimbele mbele kupinga kana maslahi gani?

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Naishauri Serikali yangu isihangaike na TEC; hili suala tungeachiwa CCM tunajua fitina za kushughulika na hawa watu sisi ndio chama Dume tuliyopigania na kudumisha uhuru wa nchi hii kwa miaka zaidi ya 60.

Maendeleo mnayoyaona hayakuja kwa bahati mbaya ni mipango madhubuti ya Chama Cha Mapinduzi. Hili suala tuachiwe sisi naona kama serikali itajipa majukumu mepesi wakati mambo ya kufanya ni mengi.

CCM Oyeee.
Wewe utakuwa taahira kwa taarifa yako kuna wanaCCM wengi tu ni wafuasi pia wa TEC
 
Back
Top Bottom