Serikali iwaombe wafanyabiashara wakubwa waende vyuo vikuu wakafundishe wahitimu angalau unit 1 ili kukamilisha degree ya biashara

Kiboko ya Jiwe

JF-Expert Member
Apr 7, 2020
12,716
36,185
Kila mkoa kuna wafanyabiashara wakubwa. Bila shaka wako pamoja na serikali. Wakiombwa wakafundishe angalau unit moja kwa wanafunzi wa mwaka wa 3 ili kukamilisha degree zao watakubali na kujitoa kwa moyo maana wataona wameheshimika.

Hapa mfanyabiashara atakuwa huru kuwaelekeza/kuwafundisha vijana namna ya kupata mtaji, kukuza biashara, namna ya kuajiri, namna ya kupambana na wafilisi n.k yaani hapa mwalimu hapangiwi cha kufundisha.

Kuna wapemba, wachaga, wakinga , Waha n.k hata lasaba hawajamaliza lakini wanaijua business administration.

Muha mmoja alinipa mbinu ya kuchagua lactation ya biashara . Nilistaajabu sana ile elimu kutoka kwa kijana wa std 7.

Hawa wahitimu wa business administration mtaani huku hawana maajabu zaidi ya kuhangahikia ajira za sells na promotions.

MBINU ya kuchagua location ya fremu ya biashara.
Kwanza lazima ufahamu biashara yako inapaswa kuwa sokoni au mitaani.
Kwa mtaani angalia upande ambao watu hupenda sana kupita kwa mguu . Huo upande ndio wenye pesa. Hii ni nature kuna upande hata kama uko bondeni au kilimani lakini watu hupenda kupitia upande huo wakiwa wanatembea.
Kwa upande wa sokoni first inakubidi ujue bidhaa yako ni ya wateja wa pale sokoni au watu wengine tu wa mitaani ambao wanafuata mahitaji hapo sokoni.
Ukijua hilo ndipo unatafuta location. Unaweza kuona una bonge la location kumbe ile sehemu ni rafiki kwa wateja wa ndani tu na wewe bidhaa yako ni kwa wateja wa nje.
Nimechoka kuandika. Nina stress ya kupoteza milioni 7 kwenye casino.
 
Wasomi wengi wa mambo ya uchumi na biashara wao wanajua namba tu za hesabu ila hesabu za kibiashara hawajui na hawatajua

Unakuta lisomi la profesa hata ulipe laki moja izae elfu 50 halitaweza kuzalisha elfu 50.
 
Kila mkoa kuna wafanyabiashara wakubwa. Bila shaka wako pamoja na serikali. Wakiombwa wakafundishe angalau unit moja kwa wanafunzi wa mwaka wa 3 ili kukamilisha degree zao watakubali na kujitoa kwa moyo maana wataona wameheshimika.

Hapa mfanyabiashara atakuwa huru kuwaelekeza/kuwafundisha vijana namna ya kupata mtaji, kukuza biashara, namna ya kuajiri, namna ya kupambana na wafilisi n.k yaani hapa mwalimu hapangiwi cha kufundisha.

Kuna wapemba, wachaga, wakinga , Waha n.k hata lasaba hawajamaliza lakini wanaijua business administration.

Muha mmoja alinipa mbinu ya kuchagua lactation ya biashara . Nilistaajabu sana ile elimu kutoka kwa kijana wa std 7.

Hawa wahitimu wa business administration mtaani huku hawana maajabu zaidi ya kuhangahikia ajira za sells na promotions.

Ingekuwa vizuri na wewe pia ukashea (share) na sisi hapa jukwaani hiyo mbinu ya kuchagua location ya biashara uliyopewa na muha wa std 7, kabla serikali haijafanyiakazi maoni yako.
Onyesha mfano kwa wewe mwenyewe kutoa hiyo elimu kwetu.
 
Kila mkoa kuna wafanyabiashara wakubwa. Bila shaka wako pamoja na serikali. Wakiombwa wakafundishe angalau unit moja kwa wanafunzi wa mwaka wa 3 ili kukamilisha degree zao watakubali na kujitoa kwa moyo maana wataona wameheshimika.

Hapa mfanyabiashara atakuwa huru kuwaelekeza/kuwafundisha vijana namna ya kupata mtaji, kukuza biashara, namna ya kuajiri, namna ya kupambana na wafilisi n.k yaani hapa mwalimu hapangiwi cha kufundisha.

Kuna wapemba, wachaga, wakinga , Waha n.k hata lasaba hawajamaliza lakini wanaijua business administration.

Muha mmoja alinipa mbinu ya kuchagua lactation ya biashara . Nilistaajabu sana ile elimu kutoka kwa kijana wa std 7.

Hawa wahitimu wa business administration mtaani huku hawana maajabu zaidi ya kuhangahikia ajira za sells na promotions.
US na nchi zilizoendelea ideas/ mawazo ma kubwa ya makampuni uanzia vyuoni Kwa mfano Facebook ilianzia havard university, lecturers WA vyuo vya nje wengi ni wanamishe nyingi tu nje ya kufundisha Kuna investors, entrepreneurs na vyuo wanasoma Kwa theory na practicals zaidi mfano Messachuttes institute of technology,ukisikia elimu ni ufunguo WA maisha ni ufunguo WA maisha kweli kweli ila sio bongo 😀😀na graduation za nje wageni rasmi uwa wanaitwa successful people kwenye tasnia mbalimbali aswa businesses gurus,Africa walivyowasenge mgeni rasmi wanaitwa wanasiasa .
 
Ny
Ingekuwa vizuri na wewe pia ukashea (share) na sisi hapa jukwaani hiyo mbinu ya kuchagua location ya biashara uliyopewa na muha wa std 7, kabla serikali haijafanyiakazi maoni yako.
Onyesha mfano kwa wewe mwenyewe kutoa hiyo elimu kwetu.
Nyie naona mnaleta utani na elimu ya chuo kikuu ,mfumo mbaya WA elimu usiwafanye muidharau elimu,nchi zote zilizoendelea zinategemea wasomi WA chuo kikuu kwenye kuendesha mambo Yao,zifuatilie Marekani na Israel ,mawazo makubwa ya kuanzishwa Kwa makampuni ya biashara huanzia vyuoni ,walioanzisha elimu ni ufunguo WA maisha hawakukosea,sasa jichanganye kufanya vitu bila elimu uone kama utatoboa
 
Kila mkoa kuna wafanyabiashara wakubwa. Bila shaka wako pamoja na serikali. Wakiombwa wakafundishe angalau unit moja kwa wanafunzi wa mwaka wa 3 ili kukamilisha degree zao watakubali na kujitoa kwa moyo maana wataona wameheshimika.

Hapa mfanyabiashara atakuwa huru kuwaelekeza/kuwafundisha vijana namna ya kupata mtaji, kukuza biashara, namna ya kuajiri, namna ya kupambana na wafilisi n.k yaani hapa mwalimu hapangiwi cha kufundisha.

Kuna wapemba, wachaga, wakinga , Waha n.k hata lasaba hawajamaliza lakini wanaijua business administration.

Muha mmoja alinipa mbinu ya kuchagua lactation ya biashara . Nilistaajabu sana ile elimu kutoka kwa kijana wa std 7.

Hawa wahitimu wa business administration mtaani huku hawana maajabu zaidi ya kuhangahikia ajira za sells na promotions.
Mjomba Kwa iyo wasomi hatuna elimu ya kuchagua location ya biashara?😀😀dah ,mjomba pita mitaani Tanzania ufanye tafiti biashara ya msomi WA chuo kikuu na mtu ambaye hajafika level ya chuo kikuu ipi inaendeshwa sahihi
 
Mjomba Kwa iyo wasomi hatuna elimu ya kuchagua location ya biashara?😀😀dah ,mjomba pita mitaani Tanzania ufanye tafiti biashara ya msomi WA chuo kikuu na mtu ambaye hajafika level ya chuo kikuu ipi inaendeshwa sahihi
Elimu imesaidia sana kukuza biashara nyingi, japo kua ambaoe hajasoma hawezi elewa kabisaa, msomi ni msomi tu hawezi endesha mambo kienyeji na ndo ushindani huanzia hapo.

Ikitokea wasomi weng kama sio wote wakaamua kujiajiri ipasavyo baas ambao hawajasoma watapata taabu sana .
 
Kila mkoa kuna wafanyabiashara wakubwa. Bila shaka wako pamoja na serikali. Wakiombwa wakafundishe angalau unit moja kwa wanafunzi wa mwaka wa 3 ili kukamilisha degree zao watakubali na kujitoa kwa moyo maana wataona wameheshimika.

Hapa mfanyabiashara atakuwa huru kuwaelekeza/kuwafundisha vijana namna ya kupata mtaji, kukuza biashara, namna ya kuajiri, namna ya kupambana na wafilisi n.k yaani hapa mwalimu hapangiwi cha kufundisha.

Kuna wapemba, wachaga, wakinga , Waha n.k hata lasaba hawajamaliza lakini wanaijua business administration.

Muha mmoja alinipa mbinu ya kuchagua lactation ya biashara . Nilistaajabu sana ile elimu kutoka kwa kijana wa std 7.

Hawa wahitimu wa business administration mtaani huku hawana maajabu zaidi ya kuhangahikia ajira za sells na promotions.
Mimi nimeandika kitabu, (wording documents), ambacho unakisoma unakiweka kwapani nakuanzisha ama kuendeleza biashara yoyote ile bado kuchapa kiko kwenye maandishi ya kimombo kwasasa nakitafsiri kwenda kiswahili. stay tuned it is a hands-on text in entrepreneurship to suit different levels of understanding
 
Kila mkoa kuna wafanyabiashara wakubwa. Bila shaka wako pamoja na serikali. Wakiombwa wakafundishe angalau unit moja kwa wanafunzi wa mwaka wa 3 ili kukamilisha degree zao watakubali na kujitoa kwa moyo maana wataona wameheshimika.

Hapa mfanyabiashara atakuwa huru kuwaelekeza/kuwafundisha vijana namna ya kupata mtaji, kukuza biashara, namna ya kuajiri, namna ya kupambana na wafilisi n.k yaani hapa mwalimu hapangiwi cha kufundisha.

Kuna wapemba, wachaga, wakinga , Waha n.k hata lasaba hawajamaliza lakini wanaijua business administration.

Muha mmoja alinipa mbinu ya kuchagua lactation ya biashara . Nilistaajabu sana ile elimu kutoka kwa kijana wa std 7.

Hawa wahitimu wa business administration mtaani huku hawana maajabu zaidi ya kuhangahikia ajira za sells na promotions.
Wawafundishe pia mbinu za kukwepa kulipa kodi, kutoa risiti feki, jinsi ya kuchea mashine za efd na kuwahonga TRA ili walipe ushuru kidogo
 
Kila mkoa kuna wafanyabiashara wakubwa. Bila shaka wako pamoja na serikali. Wakiombwa wakafundishe angalau unit moja kwa wanafunzi wa mwaka wa 3 ili kukamilisha degree zao watakubali na kujitoa kwa moyo maana wataona wameheshimika.

Hapa mfanyabiashara atakuwa huru kuwaelekeza/kuwafundisha vijana namna ya kupata mtaji, kukuza biashara, namna ya kuajiri, namna ya kupambana na wafilisi n.k yaani hapa mwalimu hapangiwi cha kufundisha.

Kuna wapemba, wachaga, wakinga , Waha n.k hata lasaba hawajamaliza lakini wanaijua business administration.

Muha mmoja alinipa mbinu ya kuchagua lactation ya biashara . Nilistaajabu sana ile elimu kutoka kwa kijana wa std 7.

Hawa wahitimu wa business administration mtaani huku hawana maajabu zaidi ya kuhangahikia ajira za sells na promotions.
watawaelekeza na waganga wao?
 
Tatizo la matajiri au hao wafanyabiashara wakubwa hasa wa Kitanzania ni kwamba
hawana mbinu za kueleweka zilozowafikisha hapo walipo ambazo watakua radhi kuwafundisha wanafunzi. Wengi unakuta wamefikia mafanikio ama kwa kupiga piga madili haramu, magendo, wizi, forgery, kukwepa sana kodi, kuhonga, uchawi, dhuluma, unyonyaji, uongo, nk. Na wengine ni mchanganyiko wa yote hayo. Sasa hapo atakufundisha nini? Sanasana ukimuita nae atakuambia "siri ya mafanikio ni kufanya kazi kwa bidii..!"
 
Kila mkoa kuna wafanyabiashara wakubwa. Bila shaka wako pamoja na serikali. Wakiombwa wakafundishe angalau unit moja kwa wanafunzi wa mwaka wa 3 ili kukamilisha degree zao watakubali na kujitoa kwa moyo maana wataona wameheshimika.

Hapa mfanyabiashara atakuwa huru kuwaelekeza/kuwafundisha vijana namna ya kupata mtaji, kukuza biashara, namna ya kuajiri, namna ya kupambana na wafilisi n.k yaani hapa mwalimu hapangiwi cha kufundisha.

Kuna wapemba, wachaga, wakinga , Waha n.k hata lasaba hawajamaliza lakini wanaijua business administration.

Muha mmoja alinipa mbinu ya kuchagua lactation ya biashara . Nilistaajabu sana ile elimu kutoka kwa kijana wa std 7.

Hawa wahitimu wa business administration mtaani huku hawana maajabu zaidi ya kuhangahikia ajira za sells na promotions.
Kipaji hakifundishwi.
 
Back
Top Bottom