Wahitimu wa vyuo vikuu wengi wana depression. Vijana ambao hawajavuka hata form 4 wanazidi kujipata tu, sababu hawana aibu na hawajipi class ya juu

MELEKAHE

JF-Expert Member
Nov 19, 2023
434
1,967

Elimu ya chuo kikuu ni muhimu lakini karama ya kuzalisha pesa ni muhimu zaidi.​


Average age ya kuhitimu ama kumaliza digrii ya kwanza Tanzania ni miaka 24. Vijana wengi waliohitimu chuo wana msongo mkubwa wa mawazo sababu ajira hakuna. Na pia elimu imewaweka daraja la juu hawawezi kufanya kazi za chini.

mentality ya wahitimu wa vyuo vikuu huwa wanaaminishwa wao ni special , ndio magenious wana deserve kazi za juu.

vijana wenye elimu ndogo walishakubaliana na hali, they know wasipo hustle hawafiki mahali, so wame build in mind kukubaliana na hali, na ku fight. They simply have no ego. Wasomi in the other side they have ego

Mfano hai kijana Misso Misondo ana miaka 24 na amenunua gari yake ya kwanza.

misso_misondo_1710956347912.jpeg


Mfano wa pili binti Nice Moshi konda maarufu Tilisho ana miaka 24 amenunua gari yake ya kwanza.

naycemoshi_1710928671200(1).jpeg



Sometimes ujivuni ya kusoma chuoni ni mzigo, vijana wengi wanaohitimu vyuo wanachelewa sana kustuka kwamba tunaishi mara moja tu na miaka hairudi​


Kijana kamaliza degree yake akiwa na 24, mindset yake imekuwa tuned kujiona yeye ni special keki kwamba inabidi asubiri kazi za ofisini zenye ulaji mnono, ujinga huu huwa wanajazana sana vyuoni.

kijana anamaliza chuo yupo kitaa anazungusha barua kwa kutafsiri msemo "one day yes" ndivyo sivyo kudhani kuna njia moja tu ya kutoboa, muda unaenda akiwa anazurura mtaani, anaweza kupata kazi ya fani yake ila akaishia kujitolea bila mshahara kwa muda mrefu.

Miaka inaenda haraka mnooo anagonga 30, kidogo anaanza kujitambua anafungua duka la kawaida kwa kuwa anona kazi ya kuchoma mishkaki, kuchoma mahindi, kuuza nyanya, kuwa mama ntilie, kuwa kinyozi, SIO HADHI YAKE YA MHITIMU, hapo dukani unakuta anafanya biashara aliyoiga ili kumaintain satus yake ya kuwa mhitimu, na kwa vile bado ana mindset ya kichuo na kutaka kuendana na wenzake wachache walioajiriwa sehemu zenye ulaji, anajikuta anatumia mpaka mtaji ku keep up.

Ubao unasoma 35 III !!! ndio anakuja justuka kwamba yupo tayari kufanya chochote halali bila kujali hadhi yake wala atavyosemwa, hapo ndo unakuta mtu anaanza kujua kwamba hata kazi alizozidharau zinaweza kumtunza, anajilaumu kwamba alichelewa sana.

Wakati huo wale wa darasa la saba na form 4 walishastuka zamani sana
 
Watu wasiosoma huwa mnajifariji sana. Yani mtu mwenye leaving certificate kununua IST au Alphard tiyari ni ishara ya wasomi kuwa maskini na wenye chuki?

Unashindana na watu wasioshindana nawe. Tumia nguvu zako kuishi maisha yako, ukute hakuna anayekuwa inspired nawewe infact hata ukifa leo kuna watu msibani kwako watavimbiwa au kulewa pombe bila kusikitika juu yako.

Huwezi kuwa satisfied maishani kama utaishi kwa kushindana na watu. Ukiona umenunua IST, msomi akinunua Mark X unajawa chuki. Ukinunua Harrier msomi mmoja akatembea kwa miguu unavimba ila mwingine akiwa na Ford Ranger unajawa chuki.

Wewe fanya wanao waishie Form 4 ili wawe makonda kama huyo binti au wacheze kwenye vumbi kama Misondo uone😂
 
Jifunze kuelewea hivi vitu

Asset
Liability

Movement
Progress

Long run
Short run

Success
Achievement

Baada ya hapo jiulize wapi uwekeze.

Kufanikiwa au kupata PESA Una we za Ila kuwa na muendelezo consistence inahitaji Kuwa na Elimu ya Fedha , kujitambua na kuwa na mtazamo chanya.

Misondo is doing fine Ila ataendelea to earn such income even a 5 years to come?

Maisha sio mashindano Ila kufikiri vyema huleta mafanikio yenye tija.

Maisha hayaendeshwi na Elimu ya darasani Ila elimu ya darasani inasaidia MTU kutafuta Elimu ya kuendesha MAISHA
 
Watu wasiosoma huwa mnajifariji sana. Yani mtu mwenye leaving certificate kununua IST au Alphard tiyari ni ishara ya wasomi kuwa maskini na wenye chuki?

Unashindana na watu wasioshindana nawe. Tumia nguvu zako kuishi maisha yako, ukute hakuna anayekuwa inspired nawewe infact hata ukifa leo kuna watu msibani kwako watavimbiwa au kulewa pombe bila kusikitika juu yako.

Huwezi kuwa satisfied maishani kama utaishi kwa kushindana na watu. Ukiona umenunua IST, msomi akinunua Mark X unajawa chuki. Ukinunua Harrier msomi mmoja akatembea kwa miguu unavimba ila mwingine akiwa na Ford Ranger unajawa chuki.

Wewe fanya wanao waishie Form 4 ili wawe makonda kama huyo binti au wacheze kwenye vumbi kama Misondo uone😂

Wewe umepaniki.. uzi umeeleza kutojipa daraja. Kufanya kazi yoyote.

Kisha wakawekwa walio mifano wachache wanaofanya humble jobs na age zao.

Kwa ufupi mimi binafsi nina elimu na Mungu kanibariki maisha ninayo. ukitaka njoo tuonane. nikuelekeze ofisini kwangu uje ama nyumbani uje uone uhalisia wangu

Huu uzi ni kumotivate wasomi waache kujipa daraja la juu na wasichague kazi. Na wala wasijipe daraja.

Maana ukweli mchungu wahitimu wengi wa zama hizi waliopo age under 30 wana msongo wa mawazo sababu hawana kipato.

Wanapaswa wabadilike wasichague kazi.

Mfano hai Mwijaku ni msomi ila hachagui kazi. Amejishusha anaonekana mpuuzi ila maendeleo yake yanaonekana
 
Mwanafunzi anaesoma shule za kayumba hata akikosa muendelezo wa elimu ya juu au hata akipata elimu ya juu akirudi mtaani hawezi kufeli.

Mwanafunzi anaesoma shule za kulipia kuanzia chekechea asipopata elimu ya juu na hata akipata elimu ya juu, akirudi mtaani bila ya baba kuendelea kumuwezesha hawezi kutoboa.

Isopokua mzazi ukilitambua hili, hatakama una uwezo wa kumsomesha mtoto wako toka chekechea kwa pesa basi jitahidi kumuandaa kwa kujitegemea mapema kwasababu baba akifeli na mtoto anafeli jumla.
 
Mwanafunzi anaesoma shule za kayumba hata akikosa muendelezo wa elimu ya juu au hata akipata elimu ya juu akirudi mtaani hawezi kufeli.

Mwanafunzi anaesoma shule za kulipia kuanzia chekechea asipopata elimu ya juu na hata akipata elimu ya juu, akirudi mtaani bila ya baba kuendelea kumuwezesha hawezi kutoboa.

Isopokua mzazi ukilitambua hili, hatakama una uwezo wa kumsomesha mtoto wako toka chekechea kwa pesa basi jitahidi kumuandaa kwa kujitegemea mapema kwasababu baba akifeli na mtoto anafeli jumla.

Mfano hai ni Mwijaku.

Angekuwa amesomeshwa Feza na St marys hasingeuweza mtaa.

Ule uchawa wake angeona aibu kuufanya maana angeona sio hadhi yake. angejiona daraja la juu
 
Mwanafunzi anaesoma shule za kayumba hata akikosa muendelezo wa elimu ya juu au hata akipata elimu ya juu akirudi mtaani hawezi kufeli.

Mwanafunzi anaesoma shule za kulipia kuanzia chekechea asipopata elimu ya juu na hata akipata elimu ya juu, akirudi mtaani bila ya baba kuendelea kumuwezesha hawezi kutoboa.

Isopokua mzazi ukilitambua hili, hatakama una uwezo wa kumsomesha mtoto wako toka chekechea kwa pesa basi jitahidi kumuandaa kwa kujitegemea mapema kwasababu baba akifeli na mtoto anafeli jumla.

90% wanaolalamika kuhusu ugumu wa maisha ni zao la dumu fagio.

Kusoma shule nzuri kunakupa Exposure ya maisha sana in term of getting money and staying with money.

Kuzliwa na kukulia ktk umasikini plus elimu mbovu, haya mambo humbomoa MTU na wachache hufanikiwa.
 
Mwanafunzi anaesoma shule za kayumba hata akikosa muendelezo wa elimu ya juu au hata akipata elimu ya juu akirudi mtaani hawezi kufeli.
Mwanafunzi anaesoma shule za kulipia kuanzia chekechea asipopata elimu ya juu na hata akipata elimu ya juu, akirudi mtaani bila ya baba kuendelea kumuwezesha hawezi kutoboa.
Isopokua mzazi ukilitambua hili, hatakama una uwezo wa kumsomesha mtoto wako toka chekechea kwa pesa basi jitahidi kumuandaa kwa kujitegemea mapema.m kwasababu baba akifeli na mtoto anafeli jumla.
Hao unaosema wamezaliwa maisha duni au wamesoma shule za chini wengi wao ndio wanapata shida ukubwani. Mzazi anayeweza kulipa ada ya chekechea mpaka chuo, huyo hana nyuma ya tende na baskeli. Mzazi huyo yuko more likely kumiliki assets au biashara au ajira kubwa zinazomfanya aweze kumuwezesha mwanae aliyesoma private. Yani mtu atoe mamilioni kusomesha ashindwe kutoa mamilioni kama mtaji?

Meanwhile, mtoto wa muuza gongo ambaye alikuwa anarudishwa nyumbani kwa kukosa kuchangia sado ya mahindi na maharagwe shuleni mzazi wake yuko more likely kutokuwa na assets, cash, ajira nzuri wala maisha safi. Mzazi aliyekuwa anakosa hela ya mtoto kunyoa nywele saloon atapata wapi mtaji wa kumuwezesha mwanae akishasoma kwa mkopo? Miujiza.

Wanafunzi waliosoma kayumba wengi sana ndio waliofeli, nia na uwezo anao ila msingi wa kuanzia hana. Watoto wa kishua kibao darasani alikula hajui Algebra wala Thermodynamics ila kwamba ukimpa duka la jumla anashindwa kuendesha?

Na iko hivi, hata huyo aliyesoma private tupu baba yake asimuwezeshe bado ana cycle ya wenye uwezo tofauti na kayumba ambaye cycle yake imejaa bodaboda, wajenzi na wacheza ndondo ambao hata kumchangia 10,000 mpaka mkimbizane.
 
Mleta mada amelenga hamii ya watu wapambanaji wasiotegemea kushwikwa mkono. Wewe unafikili kama hujamuandaa mtoto wako kiupambanaji atathubutu kwenda kua konda?
90% wanaolalamika kuhusu ugumu wa maisha ni zao la dumu fagio

Kusoma shule nzuri kunakupa Exposure ya maisha sana in term of getting money and staying with money.

Kuzliwa na kukulia ktk umasikini plus elimu mbovu , haya mambo humbomoa MTU na wachache hufanikiwa.
 
Mfano hai ni Mwijaku.

Angekuwa amesomeshwa Feza na St marys hasingeuweza mtaa.

Ule uchawa wake angeona aibu kuufanya maana angeona sio hadhi yake. angejiona daraja la juu
Ukiambiwa bong'oa utakubali ili uwe na maisha mazuri ushindane na wasomi?
Kwahiyo wewe unakubaliana na mwanaume kulamba viatu vya mwanaume mwingine?

Watu wako wa kutolea mifano ni kina Baba Levo wanaotaka kumzalia Diamond na Mwijaku. Basi ishi maisha yako mkuu, sio kila mtu kipimo chake cha mafanikio ni sawa na chako. Wengine mafanikio yao ni familia bora, wengine ni kutibu watu, wengine ni kusaidia watoto, wengine kuhifadhi mazingira.
 
Watu wasiosoma huwa mnajifariji sana. Yani mtu mwenye leaving certificate kununua IST au Alphard tiyari ni ishara ya wasomi kuwa maskini na wenye chuki?

Unashindana na watu wasioshindana nawe. Tumia nguvu zako kuishi maisha yako, ukute hakuna anayekuwa inspired nawewe infact hata ukifa leo kuna watu msibani kwako watavimbiwa au kulewa pombe bila kusikitika juu yako.

Huwezi kuwa satisfied maishani kama utaishi kwa kushindana na watu. Ukiona umenunua IST, msomi akinunua Mark X unajawa chuki. Ukinunua Harrier msomi mmoja akatembea kwa miguu unavimba ila mwingine akiwa na Ford Ranger unajawa chuki.

Wewe fanya wanao waishie Form 4 ili wawe makonda kama huyo binti au wacheze kwenye vumbi kama Misondo uone😂
Hao ni ushuzi wa bata
 

Elimu ya chuo kikuu ni muhimu lakini karama ya kuzalisha pesa ni muhimu kuliko elimu ya chuo kikuu cha sasa.​


average age ya kuhitimu ama kumaliza digrii ya kwanza Tanzania ni miaka 24. vijana wengi waliohitimu chuo wana msongo mkubwa wa mawazo. sababu ajira hakuna. na pia elimu imewaweka daraja la juu hawawezi kufanya kazi za chini.

huku vijana ambao hawakupata elimu kubwa wao maisha yanawaendea vizuri tu. sababu wanafanya kazi yoyote hawajajipa daraja lolote la maisha.


mfano kijana Misso misondo ana miaka 24 na amenunua gari yake ya kwanza

View attachment 2939893




mfano wa pili binti nayce moshi konda maarufu Tilisho ana miaka 24 amenunua gari yake ya kwanzaView attachment 2939892
Unashindana na nani!?
 
Wewe umepaniki.. uzi umeeleza kutojipa daraja. Kufanya kazi yoyote.

Kisha wakawekwa walio mifano wachache wanaofanya humble jobs na age zao.

Kwa ufupi mimi binafsi nina elimu na Mungu kanibariki maisha ninayo. ukitaka njoo tuonane. nikuelekeze ofisini kwangu uje ama nyumbani uje uone uhalisia wangu

Huu uzi ni kumotivate wasomi waache kujipa daraja la juu na wasichague kazi. Na wala wasijipe daraja.

Maana ukweli mchungu wahitimu wengi wa zama hizi waliopo age under 30 wana msongo wa mawazo sababu hawana kipato.

Wanapaswa wabadilike wasichague kazi.

Mfano hai Mwijaku ni msomi ila hachagui kazi. Amejishusha anaonekana mpuuzi ila maendeleo yake yanaonekana
Sawa mkuu, basi nakushari waache binti zako waishie Form 4 wapeleke kwenye mabasi wawe makonda kama huyo Nayce. Na wa kiume waishie Form 4 wanunulie makoti machafu na vyombo cheap vya DJ wacheze kwenye vumbi.

Baadae watafanikiwa, sisi wacha watoto wetu watasoma hata wakitaka PhD. Some years later kila mtu ale alikopeleka mboga
 
Watu wasiosoma huwa mnajifariji sana. Yani mtu mwenye leaving certificate kununua IST au Alphard tiyari ni ishara ya wasomi kuwa maskini na wenye chuki?

Unashindana na watu wasioshindana nawe. Tumia nguvu zako kuishi maisha yako, ukute hakuna anayekuwa inspired nawewe infact hata ukifa leo kuna watu msibani kwako watavimbiwa au kulewa pombe bila kusikitika juu yako.

Huwezi kuwa satisfied maishani kama utaishi kwa kushindana na watu. Ukiona umenunua IST, msomi akinunua Mark X unajawa chuki. Ukinunua Harrier msomi mmoja akatembea kwa miguu unavimba ila mwingine akiwa na Ford Ranger unajawa chuki.

Wewe fanya wanao waishie Form 4 ili wawe makonda kama huyo binti au wacheze kwenye vumbi kama Misondo uone😂
Nitakuwa wa mwisho kuiamini nchi yangu imeondoa ujinga kwa watu mpaka siku ile watanzania watakapojua kuwa ukinunua gari ni kama nguo tu maana ni hitaji muhimu la kibinadamu .

Sasa vijana kwa wazee wa nchi yangu wanaamini mtu kuwa na gari ni utajiri 😭
Wengi wa watu wanaoamini huu ujinga ni wale hasa waliotoka familia za kimasikini sana maana wengine walizaliwa wakayakuta magari ila haukuyosha bado waliwaona wazazi wakishindwa kumudu hizo gharama za uendeshaji wa gari hivyo yakauzwa ili kupunguza gharama za maisha , maana yake ni nini ni kuwa huyu aliyezaliwa kwenye familia ya hivi kuwa na gari kwake ukimwambia ni utajiri atakuona wewe ni lijinga sana .

Infact ni kuwa utajiri ni kuwekeza laiti wangeleta habari za kuwa miso misondo kawekeza kitu fulani mara huyo Nayce kawekeza sehemu fulani haki ingeleta maana ila sio kuleta uchafu eti kanunua gari .

nimezigusa familia za pangu pakavu maana walio wengi ndiyo hao hawna elimu wala exposure na maisha na ndiyo hawa wanakuja kusema vijana wa form form wamejipata kwa kumiliki vigari .

Asijue kuna vijana wana magari makali Ila mafuta yanachangwa kama hela ya vikoba kutoka kwa wana tofauti ili wavimbe road .

Je haujui kuna vijana hao hao wa form four ana gari kali lakini yupo kwenye nyumba ya kupanga na kitanda hana ?

Tubadilike elimu ni muhimu tuwapeleke watoto shule na tusisahau hakuna aliyeenda shule kuwa tajiri ila walienda kuondoa ujinga kama huu wa mleta mada .

Ashakum si matusi ila mleta mada umefeli hapo sijaona kama miso misondo wala nayce wamejipata ila naona wanahangaika kuwa kwenye level za show off kulingana na umaarufu wanaoupata .

Note: Gari ni gari hata corolla ni gari msingi wote tunanyooshewa mikono na trafiki .

Tekeri.
 
Mleta mada amelenga hamii ya watu wapambanaji wasiotegemea kushwikwa mkono. Wewe unafikili kama hujamuandaa mtoto wako kiupambanaji atathubutu kwenda kua konda?
Kushikwa mkono ni dhambi? Wacha Wahindi, Wasomali na Waarabu waendelee kupata utajiri hapa bongo ilhali sisi wazawa ni watumwa wao.

Hii mindset ya kimaskini iliyojaa uganga wa kienyeji ndani inatakiwa ikomeshwe, haiwezi fanya jamii iendelee. Kwamba ukishananga wasomi, ukatafuta pesa ukawa millionaire basi utazifuja utumie na wanawake na ulewe pombe uku nyuma umefundisha watoto wako kuwa makonda na wacheza mnanda kwenye vumbi. Then kabla ya kufa mali zako uzimalize ili waanze upya "usiwashike mkono"
 
Ukiambiwa bong'oa utakubali ili uwe na maisha mazuri ushindane na wasomi?
Kwahiyo wewe unakubaliana na mwanaume kulamba viatu vya mwanaume mwingine?

Watu wako wa kutolea mifano ni kina Baba Levo wanaotaka kumzalia Diamond na Mwijaku. Basi ishi maisha yako mkuu, sio kila mtu kipimo chake cha mafanikio ni sawa na chako. Wengine mafanikio yao ni familia bora, wengine ni kutibu watu, wengine ni kusaidia watoto, wengine kuhifadhi mazingira.


Nimegundua wewe ni Zuzu. Hujui hata maana ya elimu.

Hujui kama mwijaku ni content creator na uchawa ndio Niche yake aliyoichagua ya kuitengenezea content ?
Mwijaku amesomea digrii ya maigizo kutoka department of creative arts ya udsm. Sasa Ulitaka awe anatibu watu kwa digrii yake ya maigizo.?

Nimegundua naongea na mtu mjinga na maskini asiyejua hata maana ya division of labour
 
Mleta mada amelenga hamii ya watu wapambanaji wasiotegemea kushwikwa mkono. Wewe unafikili kama hujamuandaa mtoto wako kiupambanaji atathubutu kwenda kua konda?


Maisha sio kupambana maisha ni kuinuliwa .

Je unapopambana unapambania nini ?

Sisi ambao tunatoka familia ambazo kuna educated and uneducated ,we know how life is.

Ukonda
Bodaboda
Umachinga
Zote hizi sio kazi ni kupoteza majira yako.
 
Back
Top Bottom