Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 118,321
- 219,633
Kama kwa siku kadhaa hatuna Msemaji wa Serikali baada ya Gerson Msigwa kupelekwa Wizarani , na hakuna kilichobadilika , basi ni dhahiri kwamba Cheo hiki hakina haja ya kuwepo ili kupunguza matumizi ya serikali .
Napendekeza Waziri wa Habari ndiye awe Msemaji wa Serikali .
Napendekeza Waziri wa Habari ndiye awe Msemaji wa Serikali .