Mobhare Matinyi ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari–MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali

Baraka Mina

JF-Expert Member
Sep 3, 2020
581
574
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Mobhare Matinyi kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari–MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali.

Kabla ya uteuzi huo Bw. Matinyi alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Temeke.

Uteuzi huu unaanza mara moja.

FB_IMG_1696192755793.jpg

Matinyi-2-1.jpg
Julai 2, 2023, Rais Rais Samia Suluhu Hassan alimteua Mwanahabari Mobhare Matinyi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Temeke Mkoani Dar es Salaam. Miezi mitatu baadaye amemteua Matinyi kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari na Msemaji Mkuu wa Serikali.

Matinyi mbali na kuwahi kuwa Mkufunzi katika Kituo cha Diplomasia cha Msumbiji-Tanzania amekuwa Mwanahabari na Mchambuzi wa Maswala mbalimbali mengi yakilenga kuitetea Tanzania. Pia amewahi kuwa na ukurasa – column katika Gazeti la Kingereza la ‘The Citizen’ – The Eagle’s Eye na ameandika Makala mbalimbali kupitia Gazeti la Jamhuri.

Wengi wanamkumbuka Matinyi kwa uchambuzi wake tunduizi wa mabendekezo ya CHADEMA kuhusu Katiba Mpya wakati huo akiwa kama Mshauri Mwelekezi nchini Marekani.

Hata hivyo, kabla ya kuwa Mkuu wa Wilaya, Mwanahabari huyu kitaaluma, alikuwa akitumika kwenye jumuiya ya maendeleo kusini mwa Afrika maarufu kama SADC. Kwa sasa Matinyi anaenda kuziba nafasi iliyoachwa wazi na Gerson Msigwa, aliyeteuliwa kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo.

MAJUKUMU YA KAZI
Lecturer
Mozambique-Tanzania Centre for Foreign Relations
Oct 2013 - Present · 10 yrs 1 mo

Analyst, Columnist
VoA, BBC, RFI, The Citizen, Majira
May 2003 - Sep 2013 · 10 yrs 5 mos
International affairs, Tanzanian and American issues, etc.

Instructor
United States Foreign Service
Feb 2008 - May 2013 · 5 yrs 4 mos
Washington DC

Consultant
Foreign service and educational institutions
Oct 2003 - May 2013 · 9 yrs 8 mos

Marketing executive, bank manager
Corporate America (various)
Oct 2003 - Jan 2008 · 4 yrs 4 mos
Washington D.C. Metro Area

Chief Editor
Business Times Limited
Jun 1998 - May 2003 · 5 yrs
Dar es Salaam, Tanzania
Editor June 1998 - Jan 2000


Instructor
Tanzania School of Journalism
Jan 2002 - May 2002 · 5 mos
Dar es Salaam

Journalist
Business Times Limited
Nov 1993 - Oct 1995 · 2 yrs
Dar es Salaam, Tanzania

ELIMU
American
Master of Arts (M.A.)
2010 - 20122010 - 2012

American
Master of Arts (MA)
2008 – 2010

Johns Hopkins
Master of Arts (M.A.)
2006 - 2008

Osmania
Bachelor of Arts (B.A.)
1995 – 1998

Azania O-Level
Tambaza A-Level

Chanzo: Ukurasa wa Linkedin wa Mobhare Matinyi
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua Mhe. Mobhare Matinyi kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari–MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali.

Kabla ya uteuzi huo Bw. Matinyi alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Temeke.

Uteuzi huu unaanza mara moja.

WhatsApp Image 2023-10-01 at 23.44.25.jpeg
 
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua Mhe. Mobhare Matinyi kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari - MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali.

Kabla ya uteuzi huo Bw. Matinyi alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Temeke.

Uteuzi huu unaanza mara moja.

Zuhura Yunus Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu

20231001_234102.jpg
 
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua Mhe. Mobhare Matinyi kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari - MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali.

Kabla ya uteuzi huo Bw. Matinyi alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Temeke.

Uteuzi huu unaanza mara moja.

Zuhura Yunus Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu

View attachment 2769039
Kongole kwake
 
Ukifuatilia kasikika sehemu nyingi, na hata ukienda kwenye instagram yake kafanya press nyingi na media tour akiwa kama DC Temeke
Huyu jamaa hata hajawahi kusikika popote duuuh hii noma sasa si atakua ana-mute tu mda wote maana sio mpigadomo km Ally Kamwe Mo Ally na wengine ambao ni 'Wasemaji' huwezi kua msemaji alafu haujui kupigadomo
 
Kwa hiyo yule SK wa Diaspora ndio basi tena?, Dah nikatagemea Dada Nyota wa Jumba jeupe sababu walitokea dojo moja, atampigia pande kwa Bi Mkubwa, anyway kupanga ni kuchagua, na kuteua ni kuteua.
Mbona mnakariri sana?! Na serikali waliacha hiyo nafasi wazi kwa makusudi wakijua wananchi wajinga watashupaza shingo kumbetia huyo muhuni wa london na sinza. Kumbe hamjui ndo mlikuwa mnamuharibia


Ni makosa kutabiri nyadhifa za serikalini na hata kama unajua kaa kimya! Serikali hawapendi target zao ziende sawa na mtabiri. Hata kama ilikuwa sawa watafanya mabadiliko tu! Huyo Kikeke apewe tu mkataba TBC au AZAM aanze kazi aache uzwazwa atakuja kufulia achekwe. Maana wabongo hawachelewi
 
Back
Top Bottom