waziri wa habari

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Erythrocyte

    Kwanini kila Nape Nnauye anapokuwa Waziri wa Habari ni lazima utokee mkanganyiko?

    Sheria karibu zote kandamizi za Habari na Wanahabari zilizopitishwa Awamu ya 5, zilipitishwa Nape akiwa Waziri wa Habari. Na sasa Nape huyu huyu ameingiza Tanzania kwenye orodha ya Nchi za Ajabu na zenye kutia aibu kwenye VPN, sasa swali letu ni hili, kwanini haya yanatokea pale yeye anapokuwa...
  2. Erythrocyte

    Serikali haina Msemaji kwa siku kadhaa sasa na hakuna Tatizo , kwanini cheo hiki kisiunganishwe na Waziri wa Habari ?

    Kama kwa siku kadhaa hatuna Msemaji wa Serikali baada ya Gerson Msigwa kupelekwa Wizarani , na hakuna kilichobadilika , basi ni dhahiri kwamba Cheo hiki hakina haja ya kuwepo ili kupunguza matumizi ya serikali . Napendekeza Waziri wa Habari ndiye awe Msemaji wa Serikali .
  3. Mudawote

    Balozi Humphrey Polepole ateuliwe Waziri wa Habari

    Great thinkers kama tunavyofahamu tukio la msiba mkubwa wa taifa wa Mh. Membe bado kama taifa tunaomboleza. Ninashauri Rais Dkt Samia akitaka mambo yake ya 2025 yaende amteue Mh. Balozi Polepole kwa nafasi wa Waziri wa Habari. Werevu na hekima ya Polepole ni muhimu ktk kipindi hiki ambapo...
  4. sifi leo

    Waziri wa Habari kwanini humtunzi mkeo kama ninavyomtunza wangu? Kwanini mimi mke wangu simfananishi na wako? Je, tukiwaweka sawa watafurahiana?

    Nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu Mwingi wa Rehema kwa kutuamsha wote tukiwa SALAMA saliminin,lakini pia hata Kwa wale wenye changa moto afya Tumwombe Mungu wetu sote awaponye na kuwarejeshea afya njema. Nitakuwa kiumbe cha ajabu nisipo mshukuru Mungu kwa AJILI ya walio twaliwa maana nayo...
  5. Lanlady

    Naomba ufafanuzi kuhusu Tweet hii ya Waziri Nape

    Natamani kujua ni kwanini Nape anatumia lugha za kigeni kutoa kuelezea suala la mtandao kwenye mlima kilimnjaro. Nini hasa kusudi lake?
  6. Roving Journalist

    HOTUBA: Waziri wa Habari, Nape Nnauye akiwasilisha Makadirio ya Bajeti ya Mapato na Matumizi 2022/23

    Waziri wa Habari Nape Nnauye akiwasilisha Makadirio ya Bajeti ya Mapato na Matumizi 2022/23 Laini za simu Aprili, 2021 - laini 52,965,816 Aprili, 2022 - Laini 55,365,239 Sawa na ongezeko la 4.5% Watumiaji wa intaneti Aprili, 2021 – Watu Milioni 29.1 Aprili, 2022 – Watu Milioni 29.9 Wawa na...
  7. Analogia Malenga

    Ulinzi wa Data: Sheria ya Kulinda Taarifa ni muhimu

    Akizungumza kwenye kipindi cha Clouds 360 Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema Sheria ya Ulinzi wa Taarifa ni ya msingi katika Tanzania ya kidijitali, ili watu wajiamini na kuwa huru Haki hii ya Faragha ipo kwa mujibu wa Ibara ya 16 ya Katiba ya Jamhuri ya...
  8. Hismastersvoice

    Waziri wa Habari tueleze TCRA inafanya kazi gani ya maana

    Hii TCRA kwa watanzania hatuoni kazi yoyote ya maana inayotufanyia wananchi, imeshindwa kuhakikisha usajiri wa laini za simu unatimiza lengo lake. Mimi ni mmoja kati ya wengi tuliosajiri laini za simu na kupewa namba ya uthibitisho, cha ajabu unajikuta laini imefungwa kwa kukosa usajiri! Zipo...
  9. J

    Waziri Dkt. Kijaji aikumbusha Menejimenti ya Wizara ya Habari kutekeleza wajibu

    DKT. KIJAJI AIKUMBUSHA MENEJIMENTI YA WIZARA YAKE KUTEKELEZA WAJIBU Asema Tuko Hapa Kuwatumikia Wananchi Prisca Ulomi na Faraja Mpina, DODOMA Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Dkt. Ashatu kijaji ameitaka Menejimenti na watumishi wa Wizara yake itambue kuwa lengo na...
Back
Top Bottom