Traxtion
JF-Expert Member
- Dec 10, 2021
- 5,902
- 11,800
Mwanzo nilikuwa nashangaa, niliona haiingii akilini mtu unateka ndege halafu hujui inafanyaje kazi???? Mpaka nilipoona kwenye next episodes kuwa wamelazimishwa kufanya hijack ili kunusuru maisha ya familia zaoSam kukutana na familia yake haina ulazima kwanza kumbuka mke wake anaishi na mwanaume mwingine Sam anachofanya ni kufosi mapenzi , kuna kitu kuhusu wale majambazi hujakielewa wale jamaa walikua ni watu tuu wakawaida mtaani familia zao zimetekwa wakalazimishwa kufanya hijack wakat hawana uzoefu wowote mtu ambae hajawai kuwa jambazi anawezaje kufanya mipango wa kutoroka jela na wale wanapelekwa moja kwa moja kwenye maximum prison, kumbuka kuna mda Sam aliwauliza inamaana mmeiteka ndege alafu hamjui inafanyaje kazi ?? Kuonesha kwamba wale jamaa hawana uzoefu wowt kwenye ujambazi Sam ndo alikua anawaongoza kwenye mipango mingi wao wenyew walikua hawajui chochote.
Ila bado kuna kitu sijaelewa, kama walikuwa wanajua ndege itakuwa na abiria zaidi ya 200 kwa nini walikuja na pistol moja tu inayofanya kazi

Hawaku-assume kuwa baadhi ya watu kati ya hao 200 wanaweza kuresist na pistol moja inaweza isitoshe. Ni kama walikurupushwa tu kwenda kufanya Hijack
All in all naona Season 2 itakuwepo.



