Series (Special thread)

Series (Special thread)

Jamani nani anaiangalia Fatal Seduction japo story yake ni common as nimeona kwenye movies nyingi ila nimewapenda kwa kua ni wa South Africa,

Usiangalie na watoto, mtu mnayeheshimiana pia kama upo single sikushauri uangalie peke yako
 
Jamani nani anaiangalia Fatal Seduction japo story yake ni common as nimeona kwenye movies nyingi ila nimewapenda kwa kua ni wa South Africa,

Usiangalie na watoto, mtu mnayeheshimiana pia kama upo single sikushauri uangalie peke yako
Nimeiangalia story yake haina tofauti na DARK DESIRE nasubil episode zingine zinatoka tareh 28 tuone professor alifanyeje
 
Umeangalia series nzima? Au umeangalia season moja?
Breaking Bad zinafanana sana na Ozarks na nyingine inaitwa Weeds kiasi flani. Uzuri wa hizi series ni kuwa kadri zinavyosogea kwenye seasons ndivyo characters wanavyoshangaza mfano kwenye Breaking Bad Walter White alikuwa ni mwalimu ambae anacancer na hana hela. Kaamua kuuza madawa akapata pesa hajawahi kuua akaanza kuua, pamoja na kupata zaidi ya kiasi cha pesa alichohitaji aliendealea kusakanya kiasi cha kuwa mhalifu hatari, kuna vikwazo alikuwa anavivuka ambavyo kwa watazamaji wengi ilikuwa ni surprise. Ukiangalia PB the whole story ni escape basi breaking bad in entertainment na kufikirisha angalia na pia inauhalisia ktk maisha.. Jesse Pickman na Walter white walikuwa hawapatani before lkn badae wamekuwa business partners.
Hiyo.nimefunga yote mpaka season 5 nikacheki na better call Saul yote mpaka season 6
 
Jamani nani anaiangalia Fatal Seduction japo story yake ni common as nimeona kwenye movies nyingi ila nimewapenda kwa kua ni wa South Africa,

Usiangalie na watoto, mtu mnayeheshimiana pia kama upo single sikushauri uangalie peke yako
Vipi ni nzuri story ikoje?
 
Yes kila mtu na taste yake kuna movie ukiangalia dakk 10 za mwanzo unajua kabisa hii haikufai, mimi nimeangalia episode moja nikaona hapana , napenda movie za narcotic lakin ile hapana
Kama unapenda Narcotic series, Iangalie vzr unless una allergy na wamama. Kuna Narcotic women in real life ni smart sana na wako vzr sana in bness even than men!
 
Wakuu mnatia mabando ipi maana toka vpn yangu imebuma inaishia mb 89 naanza kuteseka na kusaga meno nakosa utamu aisee😭😭😭😭😭😭😭
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom