Series (Special thread)

Series (Special thread)

Hii series ni kali hapa rate 9/10 haisifiwi sana sabb sio ya wamarekani ila kama unapenda series za kijasusi, kama umewai kuangalia HOMELAND, THE AMERICANS na ukazipenda basi huu mzigo unacheza humohumo

Season 5 episode 50
Bureau_BoxSet.jpg
 
Ok poa kuna uzi nilionaga unasemea kuhusu bamia kama inasaidia vidonda vya tumbo maana tumbo vidonda vinaniuma sio powa je izo bamia natumiaje
Pole sana,
Bamia unachukua kama tano hivi, unakata kata vipande vidogo, unaweka maji kikombe cha chai kimoja, unachemsha kwa dkk 3 unaweza kuweka chumvi kiduchu sana kutafuta ladha, pia zinapochemka unaweza kuziponda ponda zilainike ili iwe rahisi kunywa.... zikipoa utakunywa pamoja na mchuzi wake yaan kwa lugha nyepesi utakula mlenda wa bamia, kwa siku mara 2..... endeleza dozi kwa siku 30 kisha ujipime kwa vyakula vinavyokukataa kama bado endelea kwa 30 nyingine.

:Kwenye huo uzi nimeelezea matumizi yake kwa kirefu.
 
Pole sana,
Bamia unachukua kama tano hivi, unakata kata vipande vidogo, unaweka maji kikombe cha chai kimoja, unachemsha kwa dkk 3 unaweza kuweka chumvi kiduchu sana kutafuta ladha, pia zinapochemka unaweza kuziponda ponda zilainike ili iwe rahisi kunywa.... zikipoa utakunywa pamoja na mchuzi wake yaan kwa lugha nyepesi utakula mlenda wa bamia, kwa siku mara 2..... endeleza dozi kwa siku 30 kisha ujipime kwa vyakula vinavyokukataa kama bado endelea kwa 30 nyingine.

:Kwenye huo uzi nimeelezea matumizi yake kwa kirefu.
Asante sana ngoja nianze dozi maana vilinibana hadi nashindwa kutembea
 
Asante sana ngoja nianze dozi maana vilinibana hadi nashindwa kutembea
Niliumwaga vidonda vya tumbo form 5 ndo vilinianza vilinisumbua sana , ila nilivyokuja kupona mpk leo sielewi ilikuaje mpk nimepona, kuna mtu nilimwambia hii akaniambia dawa ya vidonda vya tumbo ni kuvipotezea tuu hutakiwi kuviendekeza
 
Kuna hii Mavka: The Forest Song,
Wamenikumbusha enzi za Pocahontas,

Nimona,
Mummies,
Entergalactic (hii ya kikubwa sana usiangalie na watoto)

This year hawajatoa animations kali kiukweli.
Hiyo Nimona nasikia ina ushoga
Nimeangalia trailer la "ELEMENTAL" Inaonekana itakuwa kali sana. Hiyo ndio naisubiria kwa hamu
 
Niliumwaga vidonda vya tumbo form 5 ndo vilinianza vilinisumbua sana , ila nilivyokuja kupona mpk leo sielewi ilikuaje mpk nimepona, kuna mtu nilimwambia hii akaniambia dawa ya vidonda vya tumbo ni kuvipotezea tuu hutakiwi kuviendekeza
Vidonda kama havitapata tiba vinaleta kansa ya utumbo au kuua.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom