babamwenyenyumba
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 5,172
- 5,984
Ila si yule nesi kasema walimwokota kwenye wood hajitambui.hapo lazima afikirie zaidi so kumbe njia ya kutoka kwenye ule mji wa mauzauza ni kwenye mnaraNamaanisha inawezekana hata hapo alipo ni mauza uza mengine. Unaweza kukuta huo ni Mji kama ule part 2.