Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 20,968
- 46,626
Kikosi kikiwa hakina amri ya ku shoot unadhani wangeanza kurusha risasi hovyo? Ikulu zote duniani mtu akiwa amejipanga na mpango kabambe anaweza kuingia na kutoka kirahisi endapo ni zao la mfumo. MSIKOMPLIKETISHE MAMBOYaani nilisikitika kuona Peter anatoroka kutoka Ikulu kizembe Sana..eti anakimbia na kubamiza milango kifala vile..ule Ni utoto..sio mbaya lakini siwezi kurudia kuiangalia..
