Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,009
- 95,519
Unataka single movie au series herio ??Itapendeza mkuu
Unataka single movie au series herio ??Itapendeza mkuu
Zote zote ila ziwe action & adventure kweli kweli Kama hiyo kingsmann Intelligent businessmanUnataka single movie au series herio ??
Dah hik nimeianza naona hamna uhalisia kabisa ebu ngoja nikomae nayo!Nipo zangu nasubiri jumapili itoke episode 6 ya rabbit hole
Kwa single movie kaangalie 👉 bullet train, a man from Uncle, suspect ya kikorea, Sherlock Holmes 1&2, spl ya kichina 1&2 ni 🔥🔥- ya kwanza- kaigiza Don yen, ya pili Tony jaa Anza na hizo kwanza.Zote zote ila ziwe action & adventure kweli kweli Kama hiyo kingsmann Intelligent businessman
Utukumbushe ikitokaCITADEL series kali kabisa tutaanza kuiona tarehe 28 April nawakabali sana the russo brothers naamini na huku hawataniangusha kwenye action View attachment 2597111
Daah! Bonge la dude hili lakini tangu tarehe 3/6/2020 haijatoka tena season 2Wakuu Kuna hi series inaitwa zero zero zero no kutoka kampuni ya Amazon prime aisee ni 🔥🔥🔥View attachment 2592500
View attachment 2592501
Introsagvert, Mafian cartel, Mr Q
Mtengenezaji kasema wameishia happy, though mi naona bado Kuna vitu havijaisha.Daah! Bonge la dude hili lakini tangu tarehe 3/6/2020 haijatoka tena season 2
Ila aliitunza muda mreeefu...ikaingia king yenyewe. Hakujali ka ana jeraha

Yaani hii series Night Agent, kina Peter wanaingia White House kama wanaingia na kutoka darasa la mwalimu wa darasa la 2 B, no upinzani, hakuna ukaguzi mkali wala nini. Mifumo ya computer inafunguliwa kirahisi....Nakubaliana na wewe ndugu,matukio mengi wamefanya rahisi rahisi sana mpaka inapoteza utamu wa kuangalia….Hata rabitt hole nayo matukio mengi wameweka rahisi rahisi sana….mfano jamaa anatafutwa kwa mauji picha yake ipo kila kona mpaka kwenye tv bado anaenda polisi kirahisi rahisi tu na kutoka.
Yaani nilisikitika kuona Peter anatoroka kutoka Ikulu kizembe Sana..eti anakimbia na kubamiza milango kifala vile..ule Ni utoto..sio mbaya lakini siwezi kurudia kuiangalia..Yaani hii series Night Agent, kina Peter wanaingia White House kama wanaingia na kutoka darasa la mwalimu wa darasa la 2 B, no upinzani, hakuna ukaguzi mkali wala nini. Mifumo ya computer inafunguliwa kirahisi....
Kama kuna Season 2 wajitahidi kuwa wabunifu na wacomplicate matukio...
Pale walizingua mbaya...yaani kwa mifumo migumu ya US rais anaenda Camp David easily, mabom yapo ndani na kwa helicopta undetected mpk Peter anatokea?Ile ya kumteka raisi ndo ilikua mbovu kabisa raisi wa marekani unamteka kirahisi namna ile angalau wangeweka changamoto kidog
Yaani Ikulu ya Marekani mlango upo Kariakoo sokoni na hauna ulinzi hata wa Camera tuKuna sehemu nilicheka sana, wakati peter anatoroka ikulu, peter alipita chini kwa chini (basement) akatokea mlango upo mtaani kbsa... Hata kama ni movie haipaswi kuwa kutoroka ikulu ni rahisi vile

Umeiangalia SNOWFALL wameimaliza vizuri sanaSeries nyingi huwa mwisho wake mbovu
Teddy kawaje?Umeiangalia SNOWFALL wameimaliza vizuri sana
Teddy amekutana na moto wa Franklin amekufa kifo cha kinyama sana , aliemuua tena ni mama yake Franklin, Franklin amekosa vyote pesa + heshima amekua kapuku na chapombeTeddy kawaje?
Huyo mama ana revenge kilichotokea kwa mme wakeTeddy amekutana na moto wa Franklin amekufa kifo cha kinyama sana , aliemuua tena ni mama yake Franklin, Franklin amekosa vyote pesa + heshima amekua kapuku na chapombe
Wewe unadhani ikulu haziingiliki kirahisi? Usiaminishwe mambo makubwa sana wakati mambo yenyewe ni ya kawaida.Yaani hii series Night Agent, kina Peter wanaingia White House kama wanaingia na kutoka darasa la mwalimu wa darasa la 2 B, no upinzani, hakuna ukaguzi mkali wala nini. Mifumo ya computer inafunguliwa kirahisi....
Kama kuna Season 2 wajitahidi kuwa wabunifu na wacomplicate matukio...