Series (Special thread)

Series (Special thread)

Siku hizi Wakorea nao wanapenda sana hayo mambo
Siku hizi muvi za Kikorea zinafuata mienendo ya Marekani karibia kila kona, naona hata idea za madirector kwenye Korean movies na American movies siku hizi zinaanza kufanana
Piah makampuni kama NETFLIX wamejikita huko kwaajil ya kuzalisha series na hawa jamaa ndo kampuni inayosapot ushoga kuliko kampuni yet duniani
 
Wakuu kuna aliyecheki Severance??

Inahusu wafanyakazi wa kampuni moja kubwa sana,ila wafanyakazi wa kampuni hiyo ufahamu wao upo monitored na hiyo kampuni yani wakiingia ofisi mawazo yanakuwa ya ofisini tu,hawakumbuki chochote katika maisha yao,ila wakitoka ofsini wanaishi maisha yao na hawakumbuki chochote kuhusu kilichofanyika ofsini siku husika,so kuna jamaa wakawa wana pambana kuweza kupata hizo kumbukumbu…icheki utaenjoy ni story nzuri.
 
Netflix ndio wanaweka huo upuuzi
Siku hizi Wakorea nao wanapenda sana hayo mambo
Siku hizi muvi za Kikorea zinafuata mienendo ya Marekani karibia kila kona, naona hata idea za madirector kwenye Korean movies na American movies siku hizi zinaanza kufanana
 
Netflix ndio wanaweka huo upuuzi
Hata Wakorea wenyewe. Mfano movie ya Project Wolf: Hunting. Ni muvi nzuri ya Kikorea ila ina mambo ya ovyo, mbaya zaidi hata hayahusiani na story. Wameweka ilimradi tu.
 
Ni nzuri sana, kama ulifanikiwa kucheki season 1, hii ya 2 ni balaa zaidi.

TAHADHARI!
Haina mambo ya ngumingumi kama wewe ni mpenzi wa series za mapigano utakua dissapointed.

Huwa na penda story nzuri,ngumi mapigano huwa sio upendeleo wangu.
 
Huu mzigo sikuwai kuutilia maanani kila siku nilikua nikiuona naupita, this week nikasema ngoja nidownload episode 2 nione, now nipo season 2 bonge moja ya kitu na inahusu true event ambayo iliwai kutokea miaka ya 70's huyu BUMPY JOHNSON tumuweke chumba kimoja na akina GHOST, TOMMY SHELBY
godfather-of-harlem-tv-series.jpg
 
Nimetafuta humu sikuona special thread kwa ajili ya series ila movies.

Kwa wale wapenzi wa series tujadili hapa series tulizoona na ilivutia,pia wengine ambao hatujui baadhi ya series tunaweza kupata hapa majina ya series mpya.

Kwa upande wangu hizi ni baadhi ya series nilizongalia na zimenifurahisha.

1.Leverage
2.Breaking bad
3.Prison break
4.Burn Notice
5.Lost
6.Revolution
7.How to make it in America
8.How I met your mother
9.Martin
10.Community
11.Walkind dead

Hizo ni baadhi tu..


UPDATES ZA SERIES TOFAUTI KUTOKA KWA WACHANGIAJI KWENYE THREAD.
New tv series nnazozipenda.

1.The last kingdom
2.Narcos
3.Quantico
4.blindspot
5.The bastard executioner
6.Limitless

7. Jessica Jones
8.The Returned
9.Tyrat
10.Power
THE OVAL
 
Hata Jack Ryan nayo ni kama walikosa story....

Kwamba Convoy inatembea na Nuke, haifatiliwi na polisi wala nini

Kwamba Nuke imelipuka kwenye daraja ila madhara hayajatokea kwa watu wa maeneo husika

Kwamba Rais wa Czech anaenda Moscow bila hata msaidizi

Kwamba Tunnels za Moscow zipo bila ulinzi hadi watokea Ikulu

Kwamba CIA wanabeba silaha ndani ya Czech

Kwamba Rais anatekwa na hakuna anayejihangaisha mtafuta, hadi anajinasua mwenyewe

Kwamba Jack anaweza enda mchi yoyote ile na kufanya analotaka na hakamatwi

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Kwamba wameshindwa hata kudanganya kwa kuonesha upinzani japo kdg tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom