Lovie Lady
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 2,826
- 4,671
😂😂Jinsi nilivyoangalia series/movie nyingi zinazohusu madawa na hustle za mtaani siku mkisikia kuna kijana miaka 20's amekamatwa na mzigo wa madawa basi mjue ni mimi![]()
😂😂Jinsi nilivyoangalia series/movie nyingi zinazohusu madawa na hustle za mtaani siku mkisikia kuna kijana miaka 20's amekamatwa na mzigo wa madawa basi mjue ni mimi![]()
Hiyohiyo ya 2018 ambayo final season inatoka mwaka huu.
Season 1 ni ya 2018 nimeiangalia kwa siku moja tu Ijumaa, ikaisha. Season 2 ni ya 2019 nayo nimeiangalia Jumamosi ikaisha. Season 3 ni ya 2020 nimeiangalia jana jumapili ikaisha, Season 4 ya 2021 naangalia Leo. Season 5 ya mwaka jana 2022 nitaiangalia kesho.
Hata kama ni ya 2018 kufikia final season ni rahisi kwa sababu season moja inachukua around 5 hours only.View attachment 2539189
Huu mzigo sikuwai kuutilia maanani kila siku nilikua nikiuona naupita, this week nikasema ngoja nidownload episode 2 nione, now nipo season 2bonge moja ya kitu na inahusu true event ambayo iliwai kutokea miaka ya 70's huyu BUMPY JOHNSON tumuweke chumba kimoja na akina GHOST, TOMMY SHELBY View attachment 2553673
Sijajua ila nenda netnaija.com au nkiri.com utaionaHii iko Netflix?
Mkuu nipe linkKama uliwah kuangalia Most Dangerous game! Season 1! Imetoka season ya pili hakun kulala humu!
Naona torrents bado hawana hii, ngoja tusubiri.Mkuu nipe link
nip linkMkuu nipe link
ina episode 4
Nimeipita Sana naenda kuicheki nowHuu mzigo sikuwai kuutilia maanani kila siku nilikua nikiuona naupita, this week nikasema ngoja nidownload episode 2 nione, now nipo season 2bonge moja ya kitu na inahusu true event ambayo iliwai kutokea miaka ya 70's huyu BUMPY JOHNSON tumuweke chumba kimoja na akina GHOST, TOMMY SHELBY View attachment 2553673
Ni ya moto kinomaNimeipita Sana naenda kuicheki now
Ole wenu nichome bando kumbe ni ya kipuuzi.Ni ya moto kinoma
Inapita humohumo...au Narcos/ snowfallOle wenu nichome bando kumbe ni ya kipuuzi.
Anyway inakaribiana na breaking bad?
Mkuu hapo utachoma tu. Mi niliangalia episodes kadhaa za season 1, kwa kifupi sijaielewa.. haifikii hata kidogo utamu wa Breaking Bad (usijiangaishe hata kulinganisha).Ole wenu nichome bando kumbe ni ya kipuuzi.
Anyway inakaribiana na breaking bad?
Naomba series moja tamu maana nimeangalia episodes mbili za berlin station ni upumbavu mtupu na ushogaMkuu hapo utachoma tu. Mi niliangalia episodes kadhaa za season 1, kwa kifupi sijaielewa.. haifikii hata kidogo utamu wa Breaking Bad (usijiangaishe hata kulinganisha).
Ila fun fact kuhusu series ni kwamba some of 'em ziko person-oriented, yani baadhi wanaweza ikubali wakati wengine wasiielewe.
Hope unaweza ielewa, ila kwangu mimi Godfather of Harlem, hapana aisee!
Bumpy ni zaidi ya Ghost.Huu mzigo sikuwai kuutilia maanani kila siku nilikua nikiuona naupita, this week nikasema ngoja nidownload episode 2 nione, now nipo season 2bonge moja ya kitu na inahusu true event ambayo iliwai kutokea miaka ya 70's huyu BUMPY JOHNSON tumuweke chumba kimoja na akina GHOST, TOMMY SHELBY View attachment 2553673
Nimeanza kuicheki leo,kuna madogo wa Syria walidukua mtandao wa Polisi wa Syria wakakimbilia London.