Series (Special thread)

Series (Special thread)

Hata Jack Ryan nayo ni kama walikosa story....

Kwamba Convoy inatembea na Nuke, haifatiliwi na polisi wala nini

Kwamba Nuke imelipuka kwenye daraja ila madhara hayajatokea kwa watu wa maeneo husika

Kwamba Rais wa Czech anaenda Moscow bila hata msaidizi

Kwamba Tunnels za Moscow zipo bila ulinzi hadi watokea Ikulu

Kwamba CIA wanabeba silaha ndani ya Czech

Kwamba Rais anatekwa na hakuna anayejihangaisha mtafuta, hadi anajinasua mwenyewe

Kwamba Jack anaweza enda mchi yoyote ile na kufanya analotaka na hakamatwi

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Hata Jack Ryan nayo ni kama walikosa story....

Kwamba Convoy inatembea na Nuke, haifatiliwi na polisi wala nini

Kwamba Nuke imelipuka kwenye daraja ila madhara hayajatokea kwa watu wa maeneo husika

Kwamba Rais wa Czech anaenda Moscow bila hata msaidizi

Kwamba Tunnels za Moscow zipo bila ulinzi hadi watokea Ikulu

Kwamba CIA wanabeba silaha ndani ya Czech

Kwamba Rais anatekwa na hakuna anayejihangaisha mtafuta, hadi anajinasua mwenyewe

Kwamba Jack anaweza enda mchi yoyote ile na kufanya analotaka na hakamatwi

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Na bado Jack anacheka cheka mpka kwenye issue serious, season 1 tu ndo kali, walianza kuboronga toka season 2..hii season 3 ndo wameharibu kabisa.
Yule mama na urais wake mwenyewe nilikuwa najiuliza inakuwaje, bongo movie tupu.
 
Na bado Jack anacheka cheka mpka kwenye issue serious, season 1 tu ndo kali, walianza kuboronga toka season 2..hii season 3 ndo wameharibu kabisa.
Yule mama na urais wake mwenyewe nilikuwa najiuliza inakuwaje, bongo movie tupu.
Mim ndo mana nayakubal mapanga mapanga.unaona mfano ragnar kwenye vikings.aaanza anastugle kama mkulima na mvuv mpaka anakua chief anapiga mkono balaa.sio hao wanafanya usanii.
 
Mtu akisoma hii komenti anaweza akapotezea kuicheck lkn ni series nzuri tuu.
Sikiliza watu wa humu sio kwamba wanajua series hapana ni vile ameona hakuna vitu anavyovitaka viwemo kwenye iyo series. So wewe usibishane nao maana ukimuuliza yeye tutajie series yako Bora ambayo haina makosa utacheka maana hakuna series yoyote duniani ambayo haina makosa ila anataka akiichukia yeye na wewe uichukie kwa namna yoyote
 
Wakuu kama kuna mtu kashaangalia Slow Horses naomba maoni yake...

Maana nakutana na series za ajabu mpka nashangaa hawa jamaa wamekutwa na nini?
images%20(24).jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom