Series (Special thread)

Series (Special thread)

Hapa torrents downloader inaniuliza kama nataka kuadd... So it's a yes
Screenshot_20230207-144507~2.jpg
 
Hivyo ndio kudownload kwa kutumia kupirate kunafanya kazai.

Kwa anayetumia android basi atafute hizi application zitamrahisishua sana.

TORRCROW ( hii ni search engine ya torrents, ina websites zote za torrents )

FLUD , UTORRENT au BITORRENT ( torrents downloader )
 
Hivyo ndio kudownload kwa kutumia kupirate kunafanya kazai.

Kwa anayetumia android basi atafute hizi application zitamrahisishua sana.

TORRCROW ( hii ni search engine ya torrents, ina websites zote za torrents )

FLUD , UTORRENT au BITORRENT ( torrents downloader )
Aisee am speechless Barikiwa sana hapa ndio nimeelewa vizuri kabisa bila ya swali la nyongeza

Naitafuta sana Series moja inaitwa (Tehran) naweza ipata kupitia process ulizofafanua au?

Ezio Ezio
 
Aisee am speechless Barikiwa sana hapa ndio nimeelewa vizuri kabisa bila ya swali la nyongeza

Naitafuta sana Series moja inaitwa (Tehran) naweza ipata kupitia process ulizofafanua au?

Ezio Ezio
Tumia 1337x.to... kabla fanya kwanza kudownload bittorrent install halafu fanya iwe default torrent...baada ya happo ingia 1337x.to search hiyo series halafu fanya magnet download utakuwa directed kwenda kwenye bittorrent... ni vizuri pia kabla ya kudownload ukaangalia na idadi ya seeders...hiyo itasaidia kwenye muda utakaotumia kudownload
 

Attachments

  • jamii.png
    jamii.png
    93.4 KB · Views: 44
  • torrent.png
    torrent.png
    35.2 KB · Views: 38
Tumia 1337x.to... kabla fanya kwanza kudownload bittorrent install halafu fanya iwe default torrent...baada ya happo ingia 1337x.to search hiyo series halafu fanya magnet download utakuwa directed kwenda kwenye bittorrent... ni vizuri pia kabla ya kudownload ukaangalia na idadi ya seeders...hiyo itasaidia kwenye muda utakaotumia kudownload
Ahsante sana Kiongozi wangu,barikiwa 🙏
 
I recommend mini series inaitwa Anatomy of a scandal. Show moja kali sana, just 6 episodes.
 
Huyo jamaa hanaga mambo mengi, yeye ni mkono tu na movie za mission kama Red Notice, we unamwambia story yeye hakuelewi kabisa
Kama unajua series yenye mkono mtajie tu la sivyo utamchomea mwenzako bando bure
Kuna series inaitwa The Terminal list, ni action ila sijapata kuiona. Siku nikitulia lazima niicheki
 
Huyo jamaa hanaga mambo mengi, yeye ni mkono tu na movie za mission kama Red Notice, we unamwambia story yeye hakuelewi kabisa
Kama unajua series yenye mkono mtajie tu la sivyo utamchomea mwenzako bando bure
Kuna series inaitwa The Terminal list, ni action ila sijapata kuiona. Siku nikitulia lazima niicheki
The terminal list nimeiangalia
Episode za mwazoni kwangu zilikuwa zimepoa ila kwanzia episode za kati kati mpaka mwisho
Aiseeh! ngoma ni ya moto
 
Huyo jamaa hanaga mambo mengi, yeye ni mkono tu na movie za mission kama Red Notice, we unamwambia story yeye hakuelewi kabisa
Kama unajua series yenye mkono mtajie tu la sivyo utamchomea mwenzako bando bure
Kuna series inaitwa The Terminal list, ni action ila sijapata kuiona. Siku nikitulia lazima niicheki
Wewe wasema 😁😁😁😁😁
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom