dumbi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2018
- 988
- 1,545
Tehran overrated kawaida sanaIko vizuri ila madirector wamefanya makosa mengi ya kiufundi
Tehran overrated kawaida sanaIko vizuri ila madirector wamefanya makosa mengi ya kiufundi
Nishaangalia Series nyingi za ujasusi ila Homeland is the best...Tehran overrated kawaida sana
Store yake Ina husu nini?Hii series nmeiangalia yote weekend iliyoisha..
Hii series ni hatari..
The terminal List, nmeipenda..
tuliza ubongo tu vizur.... Tehran imeanza kuwa ya moto sana hasa hii season two ndo unaanza kuona utamu wake sasa.... Kuna series huwa zinaanza zimepoa km breaking bad ila season inayofuata ndo hutamani hata kwenda dukani.... aseeeee Tehran ni hatari...narudia tena ...ni fayaaaaaaaaaaaTehran overrated kawaida sana
Ile niliikubali sana walivyomuua brod nikawa sina mzuka nayoNishaangalia Series nyingi za ujasusi ila Homeland is the best...
Tatizo mission zake za kitoto sana kama alivyosema jamaa juu kwamba director kazingua,yani kuna sehem dem anatakiwa akamatwe kabisa lakini hakamatwituliza ubongo tu vizur.... Tehran imeanza kuwa ya moto sana hasa hii season two ndo unaanza kuona utamu wake sasa.... Kuna series huwa zinaanza zimepoa km breaking bad ila season inayofuata ndo hutamani hata kwenda dukani.... aseeeee Tehran ni hatari...narudia tena ...ni fayaaaaaaaaaaa
ile si pisi kali kabisa.Maisha halisi, mwanzo alikua anaitwa Ellen Page sasa hivi ni Elliot Page, na matiti kakata
Kuwa demu tayari ni mtafutwa, ila database za watafutwao hazimsomi....Tatizo mission zake za kitoto sana kama alivyosema jamaa juu kwamba director kazingua,yani kuna sehem dem anatakiwa akamatwe kabisa lakini hakamatwi
Dem mossad yupo IranKuwa demu tayari ni mtafutwa, ila database za watafutwao hazimsomi....
Eti mtoto wa kamanda mkuu anasoma Marekani wakati Marekani na Iran wana uadui toka 79
Eti wanaenda endesha magari ya kimarekani lastest wakati Marekani hauzi kitu kwa Wairan
na anajulikana mpaka sura, anatafutwa lakini anapuyanga mpaka kwenye nyumba ya mtoto wa mkuu wa majeshi mixa hadi kituo cha police kote hawamtambui.
Leo nimemaliza season 1, kesho namalizia 2Nishaangalia Series nyingi za ujasusi ila Homeland is the best...
Alimlipua kwenye boat.na yeye alaenda calbo del gado.namaquia de MoqambiqueTERMINAL LIST
Inahusu Mambo ya Covert Operations
Seal Team wamepewa op kumfuata mtu fulani, kumbe ni mtego
Wakafa akabaki 1
Huyo mmoja baadae akafatilia akagundua ni setup, na imefanywa na wakubwa wake
Kumbe walipewa dawa za majaribio na majaribio yakaenda vibaya wote wakaota uvimbe kichwani, hivyo wahusika wakaona wateketeze kikosi chote
Baada ya kufatilia na kuua watu wote, akabaki 1 kumbe ni mtu wake wa karibu, na amekuwa naye kwenye op ya kuua wahusika wote
Inahusu niniKuna series naifuatilia inaitwa Warrior ni Kali sana
Mbona imepoa sana mkuuKuna mzigo unaitwa black bird ndo umetoka hv karibun kwa wale wapenz wa crime drama huu mzigo siyo wa kukosa
Same story na The punisherTERMINAL LIST
Inahusu Mambo ya Covert Operations
Seal Team wamepewa op kumfuata mtu fulani, kumbe ni mtego
Wakafa akabaki 1
Huyo mmoja baadae akafatilia akagundua ni setup, na imefanywa na wakubwa wake
Kumbe walipewa dawa za majaribio na majaribio yakaenda vibaya wote wakaota uvimbe kichwani, hivyo wahusika wakaona wateketeze kikosi chote
Baada ya kufatilia na kuua watu wote, akabaki 1 kumbe ni mtu wake wa karibu, na amekuwa naye kwenye op ya kuua wahusika wote