Series (Special thread)

Series (Special thread)

Hahahha mimi kwangu ni nzuri tu na zinazungumzia hustle za mtaa kwenye issues za madawa huko UK na huyo mwana kwenye picture anaitwa Dushane na ana rafiki yake huyo ana maamuzi ya ajabu sana na roho mbaya anaitwa Sully
Haha uliposema hustle za mtaa pamoja na drugs, tayali umenishawishi...

Haujawahi ku recommend mzigo mbovu
 
N app gan na(w)eza tumia kwa ajili ya "kudaunlodia muv".......naombeni muongozo, 😊
 
Series zake nimeona Lost na Alias tu, movies ndio nyingi na yuko poa sana, mission impossible, Star wars, Jurasic park n.k

Zamani ilikuwa balaa mzigo wa greys anatomy mpaka leo ninao season 18 naenda nao tu.. series za siku hizi season 1 unaona kabisa mwisho unakuwaje au season 1 tu chalii
Naitamani Greys Anatomy ila ina ina season nyingi mno... naikatia tamaa, wish nipate free WiFi. napenda medical series kiaina hii ingenifaa
 
Haha uliposema hustle za mtaa pamoja na drugs, tayali umenishawishi...

Haujawahi ku recommend mzigo mbovu
Huu mzigo kuna mtu huko nyuma sijui nani alikuwa akinishawishi niangalie hii series so nilishusha mzigo wa seasons 2 ambazo kila season 1 ina episodes 4 tu.

Ila iyo series ya top boy ukiangalia season 1 & 2 ina utofauti kidogo na season ya 3 maana izo seasons 2 za kwanza kuna dogo humo nae alinikosha alikuwa smart sana aliitwa Ra Nell ambaye alicheza seasons 2 tu na alitakiwa aendelee coz ya kisasi lakini Channel 4 waliipiga chini iyo series kwamba haitoendelea ila Drake akaipenda ikarudiwa na Netflix ndio season 3 ila ikabadlishwa jina na kuitwa Top boy: Summerhouse kwahiyo kwasabu ya rights iyo season 3 ni ya 1 kwa upande wa Netflix na season ya 4 ni ya pili ambayo imeshatoka kuanzia march 18 wengi walirudi ila uyo dogo Ra Nelly tu ndio hatokuwepo kwenye seasons hizi 2 mpya
 
Huu mzigo kuna mtu huko nyuma sijui nani alikuwa akinishawishi niangalie hii series so nilishusha mzigo wa seasons 2 ambazo kila season 1 ina episodes 4 tu.

Ila iyo series ya top boy ukiangalia season 1 & 2 ina utofauti kidogo na season ya 3 maana izo seasons 2 za kwanza kuna dogo humo nae alinikosha alikuwa smart sana aliitwa Ra Nell ambaye alicheza seasons 2 tu na alitakiwa aendelee coz ya kisasi lakini Channel 4 waliipiga chini iyo series kwamba haitoendelea ila Drake akaipenda ikarudiwa na Netflix ndio season 3 ila ikabadlishwa jina na kuitwa Top boy: Summerhouse kwahiyo kwasabu ya rights iyo season 3 ni ya 1 kwa upande wa Netflix na season ya 4 ni ya pili ambayo imeshatoka kuanzia march 18 wengi walirudi ila uyo dogo Ra Nelly tu ndio hatokuwepo kwenye seasons hizi 2 mpya
Ok shukrani mzee, kwa hiyo ili uende nayo vyema ni lazima uanze kuzitazama hizo season 1&2 zenye episodes nne nne kisha ndio uje kwenye hizi zilizopo Netflix?
 
Naitamani Greys Anatomy ila ina ina season nyingi mno... naikatia tamaa, wish nipate free WiFi. napenda medical series kiaina hii ingenifaa
Katika medical series hii ni ya kwanza aisee.. ni ndefu kweli kweli, sema ni kali sana, utunzi wa gwiji yule yule Shonda Rhimes mwanamama anajua sana sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom