Baharia mweuc
JF-Expert Member
- Sep 13, 2019
- 654
- 769
Hahahha mimi kwangu ni nzuri tu na zinazungumzia hustle za mtaa kwenye issues za madawa huko UK na huyo mwana kwenye picture anaitwa Dushane na ana rafiki yake huyo ana maamuzi ya ajabu sana na roho mbaya anaitwa SullyKuna huu mzigo, kuna watu humu ndani tayali wameshaucheki, tupeni feedback? View attachment 2162043