paroko mweusi
Member
- Sep 9, 2020
- 22
- 31
Ingia telegram mkuu ,mzigo upo wote episode ikizidi sana ni 200 mbs,Binafsi nazipata kwa tabu kweli kweli yani episode ni za kutafuta kwa tochi, zile za Torrents nazo mb zake zime changamka haswa...
Ingia telegram mkuu ,mzigo upo wote episode ikizidi sana ni 200 mbs,Binafsi nazipata kwa tabu kweli kweli yani episode ni za kutafuta kwa tochi, zile za Torrents nazo mb zake zime changamka haswa...
Kuna channel ingne pia telegram inaitwa ALL BLACK SERIESSikiliza mimi mwenyewe nilipata tabu sana huko torrents lakini tangu nilipata hili group Tyler Perry’s Seriesla telegram basi series zote za Tyler Perry nazipata huko so nakushauri tumia ilo group utanishukuru
Jana nlipata ya 19 na 20Hivi oval zimeongezeka episode ngapi season 3 niliishia ya 4
Weka link mkuuKuna channel ingne pia telegram inaitwa ALL BLACK SERIES
All Black ShowsWeka link mkuu
Mkuuu shukran sana, last month ndo nimeirudia vzr Sasa, daaah asanteBreaking bad nimeirudia Mara tatu
Ni series mzuri kuliko zote nilizowahi kuangalia
Shukrani mkuuAll Black Shows
Unazo zipi weekend hii NumbyWeekend series
Unazo zipi weekend hii Numby
Naomba series ya kama hiiKwenye series ya LOST kuna mambo ya ajabu sana ndani ya kile kisiwa nikikumbuka nabaki kushangaa tu:
1. Kwanza kisiwa hakipo kwenye ramani. Yani unajikuta tu umetokea.
2. Ukiingia hamna kutoka. Japo watu baadae waliweza kutoka baadae.
3. Hauwezi kuumwa ukiwa ndani ya kisiwa.
4. Wanawake wote wanaopata mimba ndani ya kisiwa wanakufa.
5. Sheria za physics hazifanyi kazi kabisa mule ndani.. kwa mfano unaweza ukarusha jiwe juu likachelewa au likawahi kufika.
6. Kuna jamaa kazaliwa miaka ya 1800 lakini hazeeki.
7. Kuna huyo mtu ambae haonekani.
8. Kama ulikuwa unaumwa ugonjwa wowote ukiingia ndani ya hicho kisiwa tayari ushapona!😅
Hatari sana.. ongezea jambo lililokustahajabisha kwenye hii series kama umewahi kuicheki.
Jamaa kacheza kwenye series zipo na movie zipiBilly butcher is backView attachment 2151228
Kati ya Ben na Richard nani alitangulia kufika pale kisiwani???Kwenye series ya LOST kuna mambo ya ajabu sana ndani ya kile kisiwa nikikumbuka nabaki kushangaa tu:
1. Kwanza kisiwa hakipo kwenye ramani. Yani unajikuta tu umetokea.
2. Ukiingia hamna kutoka. Japo watu baadae waliweza kutoka baadae.
3. Hauwezi kuumwa ukiwa ndani ya kisiwa.
4. Wanawake wote wanaopata mimba ndani ya kisiwa wanakufa.
5. Sheria za physics hazifanyi kazi kabisa mule ndani.. kwa mfano unaweza ukarusha jiwe juu likachelewa au likawahi kufika.
6. Kuna jamaa kazaliwa miaka ya 1800 lakini hazeeki.
7. Kuna huyo mtu ambae haonekani.
8. Kama ulikuwa unaumwa ugonjwa wowote ukiingia ndani ya hicho kisiwa tayari ushapona!
Hatari sana.. ongezea jambo lililokustahajabisha kwenye hii series kama umewahi kuicheki.
Series kali saana hiiKwenye series ya LOST kuna mambo ya ajabu sana ndani ya kile kisiwa nikikumbuka nabaki kushangaa tu:
1. Kwanza kisiwa hakipo kwenye ramani. Yani unajikuta tu umetokea.
2. Ukiingia hamna kutoka. Japo watu baadae waliweza kutoka baadae.
3. Hauwezi kuumwa ukiwa ndani ya kisiwa.
4. Wanawake wote wanaopata mimba ndani ya kisiwa wanakufa.
5. Sheria za physics hazifanyi kazi kabisa mule ndani.. kwa mfano unaweza ukarusha jiwe juu likachelewa au likawahi kufika.
6. Kuna jamaa kazaliwa miaka ya 1800 lakini hazeeki.
7. Kuna huyo mtu ambae haonekani.
8. Kama ulikuwa unaumwa ugonjwa wowote ukiingia ndani ya hicho kisiwa tayari ushapona!
Hatari sana.. ongezea jambo lililokustahajabisha kwenye hii series kama umewahi kuicheki.
Shukrani mkuu angalau hii ipo nyuma sana maana latest episode ya oval ni s03e12 wakati ile nilioshare ipo ya 20Kuna channel ingne pia telegram inaitwa ALL BLACK SERIES
Richard Alpert.. huyo jamaa si ndo yule ambae hazeeki?Kati ya Ben na Richard nani alitangulia kufika pale kisiwani???
Jacob na black smoke ni ndugu wa damu??? Na ninani mwenye kumiliki kile kisiwa??
Mimi nakumbuka zile nambaKwenye series ya LOST kuna mambo ya ajabu sana ndani ya kile kisiwa nikikumbuka nabaki kushangaa tu:
1. Kwanza kisiwa hakipo kwenye ramani. Yani unajikuta tu umetokea.
2. Ukiingia hamna kutoka. Japo watu baadae waliweza kutoka baadae.
3. Hauwezi kuumwa ukiwa ndani ya kisiwa.
4. Wanawake wote wanaopata mimba ndani ya kisiwa wanakufa.
5. Sheria za physics hazifanyi kazi kabisa mule ndani.. kwa mfano unaweza ukarusha jiwe juu likachelewa au likawahi kufika.
6. Kuna jamaa kazaliwa miaka ya 1800 lakini hazeeki.
7. Kuna huyo mtu ambae haonekani.
8. Kama ulikuwa unaumwa ugonjwa wowote ukiingia ndani ya hicho kisiwa tayari ushapona!
Hatari sana.. ongezea jambo lililokustahajabisha kwenye hii series kama umewahi kuicheki.