Baharia mweuc
JF-Expert Member
- Sep 13, 2019
- 654
- 769
Series kali zenye akili nyingi zipi ambazo umeangalia?Mwangau baharia mweusi natafuta series kaliiiii ya kangalia likizo hiii nipo bushi ya kutumia akili nyingi sana mkkk msaaada plz
Series kali zenye akili nyingi zipi ambazo umeangalia?Mwangau baharia mweusi natafuta series kaliiiii ya kangalia likizo hiii nipo bushi ya kutumia akili nyingi sana mkkk msaaada plz
Personal of interest km hySeries kali zenye akili nyingi zipi ambazo umeangalia?
Na mie nakubali ukinipa kitu najua kitu Deep state nimemalizaSeries kali zenye akili nyingi zipi ambazo umeangalia?
Ozark umeiona?Na mie nakubali ukinipa kitu najua kitu Deep state nimemaliza
Nop mkuuOzark umeiona?
Umeicheck hadi deep state season 2?Na mie nakubali ukinipa kitu najua kitu Deep state nimemaliza
Ndio nimemaliza mkuuUmeicheck hadi deep state season 2?
Itafute mzee na haina episodes nyingi zaidi ya 10 au download episodes hata 3 then uangalie kama inakufaaNop mkuu
Basi umeielewa mzee 😀Ndio nimemaliza mkuu
Powa mkuuu nakuelewa sana mkuu nimeanza pakua orzak ep 1 nawBasi umeielewa mzee![]()
Pamoja mzee na pia I hope umejifunza kitu humu wakati nakwambia kuhusu Deep state kuna watu walikwambia mbaya lakini wewe umeangalia umekuta nzuri. So kila mtu ana maoni yake na kila mtu ana vitu anavipenda kwenye series So usipende kusikiliza maoni ya watu humu ovyoovyoPowa mkuuu nakuelewa sana mkuu nimeanza pakua orzak ep 1 naw
Sana mkuuu Deep state lazima utulie utaielewa ukitaka tu ep 1 uanza kuchanganyikiwa nayo hata kidgo huta enjoy nakubal mzeee ngoja nicheki orzak likizo hii mkuuPamoja mzee na pia I hope umejifunza kitu humu wakati nakwambia kuhusu Deep state kuna watu walikwambia mbaya lakini wewe umeangalia umekuta nzuri. So kila mtu ana maoni yake na kila mtu ana vitu anavipenda kwenye series So usipende kusikiliza maoni ya watu humu ovyoovyo
Pa1 mkuuSana mkuuu Deep state lazima utulie utaielewa ukitaka tu ep 1 uanza kuchanganyikiwa nayo hata kidgo huta enjoy nakubal mzeee ngoja nicheki orzak likizo hii mkuu
Orzak mkuuu kwa kifupi sana inahusu nn na wahusika wakePa1 mkuu




Ozark inahusu jamaa mmoja ambaye ana familia yake na anaishi maisha ya kawaida Chicago ila kumbe ni financial advisor and accountant kwenye utakatishaji wa pesa wa muuza madawa mmoja wa Mexico. So anatoa idea sehemu nzuri ya kutakatisha pesa vizuri ni eneo linaitwa Ozark sasa kufika huko anakutana na changamoto ya familia ambazo zinaendesha biashara chafu na wapo powerful. So jamaa ambaye ni Jason Bateman anaumiza kichwa ya kulinda familia yake dhidi ya wauza madawa, kukamatwa na FBI, wenyeji wa Ozark na tatizo lingine maisha ya utakatishaji yanambadilisha hadi mkewe. I hope nimekupa mwanga kwa ufupiOrzak mkuuu kwa kifupi sana inahusu nn na wahusika wake
Fresh mkuuu nimekuptOzark inahusu jamaa mmoja ambaye ana familia yake na anaishi maisha ya kawaida Chicago ila kumbe ni financial advisor and accountant kwenye utakatishaji wa pesa wa muuza madawa mmoja wa Mexico. So anatoa idea sehemu nzuri ya kutakatisha pesa vizuri ni eneo linaitwa Ozark sasa kufika huko anakutana na changamoto ya familia ambazo zinaendesha biashara chafu na wapo powerful. So jamaa ambaye ni Jason Bateman anaumiza kichwa ya kulinda familia yake dhidi ya wauza madawa, kukamatwa na FBI, wenyeji wa Ozark na tatizo lingine maisha ya utakatishaji yanambadilisha hadi mkewe. I hope nimekupa mwanga kwa ufupi
Hakuna kama 24,sijaona bado!Narudisha shukrani kwa yule alienishauri kuiangalia SEE.
Ubarikiwe sana.
Kwa wale mnaoendelea na season 2, pale ilipofikia ni mwisho?
Maana sitaki niishie kwenye utamu, nataka nikiangalia nimalize moja kwa moja.
Uvumilivu wa kulaza viporo huwa sina kabisa.
Mfano mzuri tu ni namna 24 ilivyonifanya nikeshe 2 days in a row.