Ridomil gold
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 2,787
- 2,233
Mkuu Baharia mweuc naomba kujuzwa hyo GOT KAMA GOT AU INAANDIKWA GOTHAM???Duuuh! Why?
Mkuu Baharia mweuc naomba kujuzwa hyo GOT KAMA GOT AU INAANDIKWA GOTHAM???Duuuh! Why?
GOT ni Game of ThronesMkuu Baharia mweuc naomba kujuzwa hyo GOT KAMA GOT AU INAANDIKWA GOTHAM???
Yeah! Huyo ni noma sana kule kwenye Animal kingdom ngoja tumcheckJamaa atakuwa ana kazi zingine,pia wamesema watamchukua Finn Cole, huyu ni ndungu wa damu na Sean, dogo flani hivi yupo pia kwenye Peaky blinders akitumia jina la Michael, mtoto wa Auntie Polly, pia yupo kwenye Animal Kingdom kama Josh Cody
Dogo alikichafua sanaYeah! Huyo ni noma sana kule kwenye Animal kingdom ngoja tumcheck
SanaaaDogo alikichafua sana
Pope CodyAnimal kingdom season 5 itaanza tarehe 11 July
Katika hii series namkubali sana Pope😂Pope Cody
Pope anaichangamsha sana hii series, akili zake anazijua mwenyeweKatika hii series namkubali sana Pope![]()

Zile akili zake za kimbayuwayu ndo zinanifanya nimkubali sana😂😂Pope anaichangamsha sana hii series, akili zake anazijua mwenyewe![]()
Huo mzigo ni hatari mzee nasubil taarifa sijui kutakua na season 2 inatoka liniView attachment 1842714
Kuna mdau alileta hii kitu hapa abarikiwe sanaa , kama hujaiona kaichek
Mkuu tumia tu O2TvSeriesWadau naomba link ya website ya Fzseries kila nikisearch wananiletea ujinga haiji link yenyew
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Natumia hiyo ila quality yake inakuaga chafu sanaMkuu tumia tu O2TvSeries
Kuna option ya kuchaguaNatumia hiyo ila quality yake inakuaga chafu sana
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Link ya telegram ya nini?Jamani habari naombeni link ya telegram