George Betram
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 4,018
- 4,907
wapi nimesema siipendi Money Heist? Eti "wapambe wenzio", inaonekana imekukera kuona kuna watu wanasapoti nilichokisema. Eti michambo, wewe jamaa una tatizo kubwa kuliko maelezo. Michambo ndio nini? Maneno unayoongea na dada zako unatuletea humu!?Nilijua hujaelewa bali ulikuwa unabishana basi ni hivi unajua why nimekupinga kuhusu IMDb coz siamini kwenye sites zinazotoa rate yaani kiufupi siamini kwenye sites zote zinazotoa rate maana unakuta series hii huku imepewa rate ya 8.3 huku kwingine ina 9.4. Why inatokea hivi coz ni Watu tu hatujui wana uwezo gani? Wapo wangapi? Ushabiki au kutopendezwa na kitu fulani? that why wanaipa rate iyo movies or series hata kama director, star au producer akishiriki kwenye movement yoyote wataipa rate iyo series au movies kulingana na iyo movement.
Kitu nilichogundua huipendi Money heist maana nilikuwa na mention na GOT ila wewe na wapambe wenzako mkawa mnatumia tu Money heist kitu ambacho sio kosa lenu bali ni uwezo wa kuelewa.
Why nimechukua Money heist na GOT coz ni series zinazopendwa dunia nzima na ujio wake unaona dunia nzima reactions za Watu kwenye social media, mashuleni, ofisini, mitaani na hata majumbani. Nikauliza maswali haya:
- Kama Got na Money heist zinapendwa kwasababu ni action mbona Nikita, strike back, warriors, Hanna na Into the badlands zote ni action series but hazikuwa zinapendwa na Watu wengi kuliko GOT na Money heist?.
- Kama hizi Got na Money heist zina kiki? Tuambie kiki gani zinafanywa na HBO pamoja na Netflix kuziweka hizi zipendwe na kusubiriwa kwa hamu kuliko izo zako za kwenye IMbd? Kama HBO na Netflix wanajua kiki mbona series zao zingine hazitambi kama hizi?.
- Kuna kuku wanakuja wanasema series hii ni kali kuliko hii (Ukishaongea kauli hizi najua wewe sio mwangiliaji wa series pale mpenda vitu fulani viwepo ndani ya series) nikauliza kitu gani kinaifanya series hii iwe bora kuliko zengine ikiwa series zina story, Genre na characters tofauti even Budget tofauti? (Zilikuja sababu za kijinga izo hadi aibu kuzitaja nikitaja Watu watakuja kutukana matusi tu humu 😆😆 na mwingine akaona soo akakimbia).
- Ikiwa Watu wote duniani wanapiga kura IMDb au kutoa rate na sio kikundi cha Watu wachache ambao huwajui unadhani izo list za series bora za mda wote hapo IMDb zingebaki ivo?.
So sites zinazotoa rate huziwezi ukasema zinatoa mawazo ya Watu wote duniani that why Watu wengi hawaangalii ilo wanaangalia story ipo vipi na sio izo sites.
I hope kwa maelezo haya umenielewa wewe na kikundi chako cha singeli kama mnataka kujadili hili jibu maswali yangu yote mliyoyakimbia kutokana na industry ya series ilivyo na sio maoni yako sijui kwangu mimi kwangu mimi 🤣🤣🤣 na kuanza kuleta michambo kama mwanamke mwenye mdomo mchafu sitojibizana tena hata mtoe matusi gani?Na tuwaachie Watu wengine na wao watoe comments zao kuhusu series mpya na zinazoendelea angalau wanakuwaga kimya.
Siku njema mzee wa kwangu mimi kwangu mimi 🤣🤣
NB: Usihangaike kunijibu, utapoteza muda wako, nimeshakuweka kwa "ignore list".