Sam pizzo
JF-Expert Member
- Sep 27, 2012
- 846
- 515
Yes ni documentary miniseries iko poa sanaso ni documentary sio!
Yes ni documentary miniseries iko poa sanaso ni documentary sio!
the wire nimeicheki mkuu,acha kabisa icho chumaUmeicheki The Wire!?
Vijana wengi nikiwatajia hiyo series wakaitazame huwa wanakuja kunilaumu kuwa nimewaingiza "mkenge". Huwa nashangaa sana.the wire nimeicheki mkuu,acha kabisa icho chuma
hahahaa yani mtu anayeona money heist ndo best series yake ukimtajia the wire au breaking bad ni baadhi ya tv show bora toka dunia iumbwe atatamani akunyonge,kwaiyo tuwaache ivo ivo kuna mtu mwingi yeye anapenda kuona action tu,hataki kujua stori iliendaje yeye anachohitaji kukiona ni ngumi na bunduki tuVijana wengi nikiwatajia hiyo series wakaitazame huwa wanakuja kunilaumu kuwa nimewaingiza "mkenge". Huwa nashangaa sana.
Hahahahaha wao ndio walikuwa wanabishana na uhalisia kwamba unachopenda wewe sio wanachopenda wenzako so usiwafanye wenzako hawajui series na pia series zina story tofauti how come unalinganisha.Baharia mweusi na wenzako mmeleta fujo yaani mkeka wetu unamabishano yenu daah.
Anyways, tuendelee na kupeana madini.
Huwezi kujibu na Hakuna ilo jibu mzee za series hii ni bora kuliko nyingine coz of Genres, characters na story zipo tofauti kabisa labda upende ubishi tu na ndio watu wengi walivyo anabaki kusema kwangu mimi kwangu mimi ambayo ni maoni yako coz unapenda tu series fulani na iyo series iliyo bora kwako mwengine haipendi na hao Watu wanaotoa rate ni kama wewe that why IMDb wanakwambia kabisa hizi rate ni according to IMdb users ambao tunarudi palepale ni maoni yao.Natamani tueleweshane zaidi lakini nahsi tutaendeleza ubishi kitu ambacho si lengo la hii thread.
Ningekuelezea kwanini series inakuwa high rated hata kama sio most watched, pia hata Kama sio pendwa sana machoni mwa watu
Ningeeleza pia kwanini breaking bad iko juu zaidi ya series nyingine za aina hiyo japo si wote waliitazama breaking bad.
Na kufupisha huu ubishi, tuseme umeshinda
Huwezi kujibu na Hakuna ilo jibu mzee za series hii ni bora kuliko nyingine coz of Genres, characters na story zipo tofauti kabisa labda upende ubishi tu na ndio watu wengi walivyo anabaki kusema kwangu mimi kwangu mimi ambayo ni maoni yako coz unapenda tu series fulani na iyo series iliyo bora kwako mwengine haipendi na hao Watu wanaotoa rate ni kama wewe that why IMDb wanakwambia kabisa hizi rate ni according to IMdb users ambao tunarudi palepale ni maoni yao.
Bora umetumia busara wa kutoongea utumbo na uongo ambao unatokana na maoni yako sio maoni ya Watu kama mfata upepo mwenzako aliyesema level of intelligence
Nilikwambia unakurupuka Umeona akili zako alafu umesema unaangalia series ya Suits ili ujifunze sasa unajifunza nini? Nimereply sms ya mtu mwingine ila unajibu wewe wakati nimekuuliza maswali yangu hujibu? Ila unataka tuanze kuitana majina ya kijinga mimi sina utoto huo coz level ya kufikiri ipo chini sana au sio mzee wa level za intelligence au zipo series zisizokuwa na makosa 😆😆😆una issues wewe mbona maneno mengi sana halafu hayana mashiko ndg brainless dumpster humpter
Eti mfata upepo mwenzako!Huwezi kujibu na Hakuna ilo jibu mzee za series hii ni bora kuliko nyingine coz of Genres, characters na story zipo tofauti kabisa labda upende ubishi tu na ndio watu wengi walivyo anabaki kusema kwangu mimi kwangu mimi ambayo ni maoni yako coz unapenda tu series fulani na iyo series iliyo bora kwako mwengine haipendi na hao Watu wanaotoa rate ni kama wewe that why IMDb wanakwambia kabisa hizi rate ni according to IMdb users ambao tunarudi palepale ni maoni yao.
Bora umetumia busara wa kutoongea utumbo na uongo ambao unatokana na maoni yako sio maoni ya Watu kama mfata upepo mwenzako aliyesema level of intelligence 😂😆😆
😂😂😂 Sawaaa bwana mdogo angalau sijataja jina la mtuEti mfata upepo mwenzako!
😂😂😂😂
Wewe bwana mdogo una vituko sana!
😂😂😂Nilikwambia unakurupuka Umeona akili zako alafu umesema unaangalia series ya Suits ili ujifunze sasa unajifunza nini? Nimereply sms ya mtu mwingine ila unajibu wewe wakati nimekuuliza maswali yangu hujibu? Ila unataka tuanze kuitana majina ya kijinga mimi sina utoto huo coz level ya kufikiri ipo chini sana au sio mzee wa level za intelligence au zipo series zisizokuwa na makosa 😆😆😆
Ngoja tumalize hili jambo mkongwe, mimi natumia IMDB, tuachane na IMDB. Weka "genuine" site yako unayoiamini, ambayo inaiweka Money Heist katika top 15 best TV Series of all time.😂😂😂 Sawaaa bwana mdogo angalau sijataja jina la mtu
Nilikwambia unakurupuka Umeona akili zako alafu umesema unaangalia series ya Suits ili ujifunze sasa unajifunza nini? Nimereply sms ya mtu mwingine ila unajibu wewe wakati nimekuuliza maswali yangu hujibu? Ila unataka tuanze kuitana majina ya kijinga mimi sina utoto huo coz level ya kufikiri ipo chini sana au sio mzee wa level za intelligence au zipo series zisizokuwa na makosa
Nilijua hujaelewa bali ulikuwa unabishana basi ni hivi unajua why nimekupinga kuhusu IMDb coz siamini kwenye sites zinazotoa rate yaani kiufupi siamini kwenye sites zote zinazotoa rate maana unakuta series hii huku imepewa rate ya 8.3 huku kwingine ina 9.4. Why inatokea hivi coz ni Watu tu hatujui wana uwezo gani? Wapo wangapi? Ushabiki au kutopendezwa na kitu fulani? that why wanaipa rate iyo movies or series hata kama director, star au producer akishiriki kwenye movement yoyote wataipa rate iyo series au movies kulingana na iyo movement.Ngoja tumalize hili jambo mkongwe, mimi natumia IMDB, tuachane na IMDB. Weka "genuine" site yako unayoiamini, ambayo inaiweka Money Heist katika top 15 best TV Series of all time.
Heeh! Kweli umetajwa jina? basi na wewe andika bila kunitaja alafu uone kama mwanaume mimi nitareply.Kwenye hiyo reply ya si umenijumlisha ukantaja kwa sarcasm na kuhusu maswali mentality yako imekaa kubisha kwahiyo ukijibiwa unachofanya ww ni ku twist maneno then unabisha
Nb
If you spend all day shuffling words around, you can make anything sound bad
Heeh! Kweli umetajwa jina? basi na wewe andika bila kunitaja alafu uone kama mwanaume mimi nitareply.