wakati huo nilikuwa nje ya mji kimasomo (zanzibar tunaita shamba), network ilikuwa inapanda 3g lakini ilikuwa ni uhakika kwa muda wote. acha nicheze tena kamari japo kwa mara ya mwisho pengine bahati itakuwa upande wangu
TTCL inekataa kusoma kwenye modem, nimefikiria kumuazima mdogo wangu simu ili nipate huduma yao ya usiku
Halotel internet yao ni uhakika, bahati mbaya sana wametukatia mrija wa furaha
Ngoja nitaitafuta line ya Airtel, sikuwa nayo, hii halotel sion faida yake kila nikiunga hicho kifurushi cha usiku, asubuh nakuta kama nilivyo acha jana, hasara tu, imebidi nipotezee hiyo line...airtel gb 10 kwa 1500 kuanzia saa sita usiku menu ile ile *149*99# kisha internet halafu siku utaona bando la usiku
Ngoja nitaitafuta line ya Airtel, sikuwa nayo, hii halotel sion faida yake kila nikiunga hicho kifurushi cha usiku, asubuh nakuta kama nilivyo acha jana, hasara tu, imebidi nipotezee hiyo line...
Natumia TTCL, wako na speed poa tu
Now voda kwangu mteremko.. Gb 3.5 kwa 2000.. Na kasi ya voda sasa
Hahah nilikuwa nategesha halafu nalala, nikiamka kula daku, nakuta kama nilivyoacha aisee, nmerudia mara nne buku jero langu linaenda tu, dah nilikuwa napata hasira basi tu...hao ttcl au airtel ukipata simu ya 4G utawapenda kasi nzuri. Japo sijajaribu kasi 4G ya ttcl.
ila ninge akina popo hawalali mpaka mzigo wote ufike. kumbe huwa hnategesha kisha unalala hapo ndipo hasara inapotokea maana halotel wana katabia ka kuzima data kwa sekunde kadhaa
Hahah nilikuwa nategesha halafu nalala, nikiamka kula daku, nakuta kama nilivyoacha aisee, nmerudia mara nne buku jero langu linaenda tu, dah nilikuwa napata hasira basi tu...
Hapo kwenye upopo ndio mtihani, na mausingizi ya kifala sana siwezagi kutoboa kabsa hata kama nmepania hiyo siku nitoboe, itafika mida mida tu naanza kuona wenge la usingiz
usingizi shuain zake. Jana nikasema ngoja nishushe vitu imefika muda wa saa sita kasoro kumi hali ikabadilika usingizi sio usingizi kizunguzungu sio kizunguzungu ikabidi nilale tu hapo nilikua sijaunga maana waunga bando la usiku tuna mengi ya kusimulia
nilishawahi unga bando kabla ya saa sita wakalibeba na kifurushi sijui walimpa nani. Siku hizi naunga ikifika saa sita yenyewe
yale huwa ni mateso makali sana tunapitia, hasa hasa hizi za kikorea kwa upande wangu huwa naona zina kazi kidogo wakati wa kuzishusha tofauti na hizi za kizungu, ukishaiweka kwenye Torrent tu kazi inaisha..
mateso sana halafu kanakuja ka mtu kanaleta flash kirahisi rahisi eti niwekee,kakiangalia kasipoipenda kanakulaumu una machaguo mabovu
hakajui mziki unaopitia usiku mnene, utasikia mimi napendaga zile za kijijini, naona ww umejaza za mjini tupu
Hakuna kitu hapaKuna hii hapa pia ya CIA
View attachment 1762592Cypher 2020 S01 COMPLETE 720p NF WEBRip x264 Torrent Download - LimeTorrentx.cc
Download Cypher 2020 S01 COMPLETE 720p NF WEBRip x264 torrent for free, Downloads via Magnet Link or FREE Movies online to Watch in LimeTorrentx.cc Hash: 94AA907F034CDAA57FCAD9BEB4982A1C5658DBD9www.limetorrentx.cc
Week ya 4 asa hivi tangu iachiwewapenzi wa queen of the south naona season 5 imeshaanza kuachiwa
Hii series ni kali sana aisee, nmeianza jana baada ya kufuturu,nmeenda nayo hadi muda wa daku...najiuliza sijui kwanini waliweka episodes chache vile dah...ujasusi wa humu ndani sio wa mchezoWale wapenzi wa series za beef Kati ya waarabu na israel ambao mliofuatilia pia Fauda Basi mzigo mwingine huu unaenda kwa jina la TEHRAN unaonyeshwa na apple tv plus ambao this time ni ujasusi kati ya Israel na Iran.