Series (Special thread)

Kwangu Mimi katika series Bora za Netflix zenye story nzuri, za muda wote tangu niangalie series zao na kukufanya ushangae na kujiuliza mda wote Basi ni MONEY HEIST & DARK....
Hii Dark nilidownload season zote 3 nikaweka kiporo nikaanza nayo kuanzia alhamisi ya wiki iliyopita hadi leo nipo S03e07 si mchezo mzee hadi unasema hii ndo series sasa ya mtu mzima kukaa na kuangalia sio series hata mtoto mdogo akikaa unajua mwisho wa siku itaishia wapi.... Hapa netflix na wajerumani wamecheza Sana naipa 9/10 kwa upande wangu.

Hapo kwenye Dark nakuunga mkono mzee
 
Wale wapenzi wa series za beef Kati ya waarabu na israel ambao mliofuatilia pia Fauda Basi mzigo mwingine huu unaenda kwa jina la TEHRAN unaonyeshwa na apple tv plus ambao this time ni ujasusi kati ya Israel na Iran.
 

Attachments

  • Screenshot_20201001-181954.png
    Screenshot_20201001-181954.png
    129.1 KB · Views: 8
  • Screenshot_20201001-182013.png
    Screenshot_20201001-182013.png
    71.3 KB · Views: 7

Similar Discussions

Back
Top Bottom