Series (Special thread)

Nimeipata playstore mkuu ila namna ya kusachi movie ndo changamoto, naona kama hakuna option kama hyo
Ingia kwenye hii search ingine yao 13377.xto Google halafu unafungua kuna option za movies, series, documentary, fungua hapo una click movie hiyo au series halafu itaenda moja kwa moja kweny utorrent
 
Poa poa nimekuelewa sana mkuu.
 
Mwanangu unafanya kazi voda au tigo au airtel au halotel ..maana unashusha vitu vya gb za kutosha, umetisha mzee
hapo kwenye gangs of London London babako hutojuta huo mzigo ji balaa na nusu.
Aah hapo ilikua halotel night pack mzee kabla hawajaanza kutufanyia undava

Hii gangs of london nimeiweka kiporo kwanza kutokana na kuto kamilika kwake so stimu inaweza ikachanganya halafu mzigo ukawa unakuja kwa kudevela

saizi niko homeland season 04 nikitoka hapo nakuja na hii gangs of london
 
Utaamua mwenyewe kama utaona bado inakuvutia au vipi. Kwani hujawahi kuangalia series ikakuboa ukaachana nayo tu iendelee na wewe unaendelee na mambo mengine
Aina noma mkuu..ngoja weekend hii niitafutie mda nicheki
 
Hii homeland imekaaje mkuu, mzigo unahusu nini? Nataka niishuhe..
Gangs of London ni balaa na nusu mkuu ..hutojuta kabisa
 

Mkuu, kumbe Halotel night pack imeminywa hatimaye, nilikuwa sijui. Dah..ile ilikuwa ndiyo mkombodhi wangu. Dooh!
 
Ingia kwenye hii search ingine yao 13377.xto Google halafu unafungua kuna option za movies, series, documentary, fungua hapo una click movie hiyo au series halafu itaenda moja kwa moja kweny utorrent
Shukran mkuu, wacha nijaribu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…