OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,931
- 25,245
Huu mzigo McMafia nilikuaa nauchukulia poa ila umesimama balaa..
Usisahau kuleta mrejesho hapaNgoja niishuhe hapa

Huu mzigo McMafia nilikuaa nauchukulia poa ila umesimama balaa..
Dah ..season two inatoka lini mkuu??Hatari sanaa iyo kitu mzeee semaa no 2 ndio bado asee
🚮🚮🚮Kuna mzigo unaitwa lupin uko episode 5 mpaka sasa zingine 5 bado haijajulikana lini zitatolewa
Uko poa sana
Da mnaotumia pc mna raha kweli kweli kwenye masuala ya series, season tatu zote unashusha kwa pamoja wakt sie wa simu ni mwendo wa episode kwa episode tu. Au kuna way na mie wa simu kuweza kupakua full season kama hvi?
Ndio. Tumia uTorrentDa mnaotumia pc mna raha kweli kweli kwenye masuala ya series, season tatu zote unashusha kwa pamoja wakt sie wa simu ni mwendo wa episode kwa episode tu. Au kuna way na mie wa simu kuweza kupakua full season kama hvi?
Hii app mkuu inanishindaga aisee unasachi na kupakua moja kwa moja humo au ni sehem ya kupachika link tu?
Unaingia torrent web unatumia magnet linksHii app mkuu inanishindaga aisee unasachi na kupakua moja kwa moja humo au ni sehem ya kupachika link tu?
Leo nimeshusha tatu.Mkuu happy huwezi Jutia MB zako Viking imekaaa Poah Sana...
Ndio inawezekanaDa mnaotumia pc mna raha kweli kweli kwenye masuala ya series, season tatu zote unashusha kwa pamoja wakt sie wa simu ni mwendo wa episode kwa episode tu. Au kuna way na mie wa simu kuweza kupakua full season kama hvi?
Unajapo kapicha ka demo mkuu?? Au ka video kenye maelekezo? Torrent nimeipakua playstore ila namna ya kusachi hizo series au movie ndio issue sion hyo option.Ndio inawezekana
Mara nyingi mimi huwa nadownload kwa sim halaf naziamisha kwa pc
Chamsing ni kuwa na torrent then ingia 1337x search hapo series complete unayoitaka utaipata
Jina lako zuriUnajapo kapicha ka demo mkuu?? Au ka video kenye maelekezo? Torrent nimeipakua playstore ila namna ya kusachi hizo series au movie ndio issue sion hyo option.
Salute kwako bro.
Bofya hiiLink hutojutia kuna kila Series ulowahi kuiskia tena quality dadeq utanambia.
Pic ya 1, unaingia chrome or browser yyt ile then unasearch 1337X au site nyingine ya torrentUnajapo kapicha ka demo mkuu?? Au ka video kenye maelekezo? Torrent nimeipakua playstore ila namna ya kusachi hizo series au movie ndio issue sion hyo option.