Series (Special thread)

Series (Special thread)

Ni series nzuri sana sema wanakera na mambo yao ya ushoga
Yaah! Ubaya hakuna series isiyokuwa na ushoga mzee so wewe wakianza kushikana peleka mbele maana aim yao wewe na mashoga wenzao waone ni kitu Cha kawaida ila sio jambo la kawaida kwangu na series ambazo hazina huo ujinga ni chache Sana ikiwemo blacklist
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom