Series (Special thread)

Series (Special thread)

Reddington hakua na akili kiivyo sema kwakua ni blacklister so anawajua wenzake angekuwa na akili sana man basi series ingekosa viewers na kusitishwa bali alikuwa mbabe na ukitaka kujua ilo angalia alipomzingua huyu bibi ambaye anajulikana kama MR.Kaplan ambaye alikuwa cleaner wake kila akifanya mauaji Ni hatari mzee picha tu linaanza huyo ni mwanamke lkni why kaitwa Mr Kaplan? Raymond alifilisiwa kila kitu na mwisho wa siku huyu mama ndo kavumbua mifupa ya Raymond original ndo utata ukaanza hapo.
Acha wivu
 
MOST DANGEROUS GAME

Series - (Complete season 1)
Genre: Action | Thriller
Duration: 7 minutes
Rate: 7.9/10


Hii series ni ya moto mno, kama unavyoliona jina lake!

Dodge, baada ya kukumbwa na ukata wa kifedha huku mkewe akiwa na mimba na yeye baadae anakuja kugundulika kuwa ana uvimbe (cancer) kwenye ubongo, anaamua kwenda kuomba msaada kwenye kampuni ya TF ambayo ina kitengo cha kuwasaidia wahitaji.
Kwa bahati mbaya, kwake yeye inakuwa tofauti.

Mchizi analazimishwa acheze game la msako, yeye akiwa kama prey (anaewindwa) na kikundi cha watu ambao hawafahamu.

Jamaa inabidi acheze tu kwa maana hakuna njia nyingine ya kumsaidia mkewe mjamzito na ukizingatia yeye anao muda mchache tu wa kuishi kutokana na kuwa na uvimbe kichwani.

Dili ipo hivi, jamaa atakiwa aingie kwenye game (hunt), kila anapokamilisha lisaa moja kwenye msako kama bado atakuwa yupo hai basi zitakuwa zinaingizwa pesa kwenye benki akaunti anayotumia na mke wake kiasi cha $50,000/=

Humo kuna sheria za mchezo, jamaa anaambiwa asimjulishe mtu yeyote kuhusu hiyo game na wala asikimbie mji, akifanya hivyo atakuwa amekiuka masharti ya mchezo na hivyo mchezo hautoisha.
Pia wauwaji wanaruhusiwa kutumia silaha zote kuua isipokuwa bunduki.

Humo ndani kinawaka vibaya vibaya!

Kuna muda jamaa anaingia kanisani kwa padri kuungama, kumbe huyo padri mwenyewe yupo kwenye game anamuwinda!

Ni series fupi tu, kila episode haizidi dakika 8 na ina jumla ya episode 15. Siku haiishi ushaimaliza.
Kuna muda unaona kama inaisha haraka haraka, unatamani hata ingekuwa na dk 60!

Fanyeni kuitafuta haraka sana!

Ninauhakika kabla hujaimaliza utakuwa tayari ushanishukuru.View attachment 1535128
Nisaidie link ya hii mkuu
 
duh!
huyu mama alimpiga risasi mwishoni mwa season 3 (alimtorosha elizabeth keen bila ya amri yake).
unataka kuniambia baadae mzee raymond anakuwa choka mbaya?
ngoja niongeze kasi ya kuifuatilia.
nipo season 4
===================
huyu fala reddington kila season amekuwa na rekodi ya kutoa uhai raia 20, najiuliza mbona hachukuliwi hatua yeyote ya kinidhamu
teh teh teh
Huyo mama hakufa pale na pia alimind why amekuwa loyal kwa Raymond but kitu kidogo iko Cha kumtoroshaa Elizabeth iwe sababu ua kifo chake ndo utata unaana hapo.
Issue ya Raymond kuua na why hakamatwi Ni sawasawa na kuona kwenye kampuni Kuna mtu anagombana na wafanyakazi wenzake au ana tabia sizo Ila kwakuwa uchapakazi wake ndo unafanya kampuni iwe hapo ilipo basi hawana namna ndo ivo ivo kama Raymond akifa iyo team ya FBI yote itafutwa na pia marekani haitawakamata blacklisters wake na kuwa tishio that why wanamuacha Ila mbele huko atakabiliwa na kesi na kusimama yeye ka yeye kama wakili bt atashindwa na kuhukumiwa kifo cha kuchomwa sindano ya sumu bt unafanyika mchongo huo wa kumuokoa
 
natafuta series kali ka fauda vile yani yani mishe kali kama 24, wadau ebu nisaidieni iwe na harakati kama queen of the south n.k
 
Jack Bauer : " Of course I have regrets, Senator. I regret losing my family. My wife was murdered because I was responsible for protecting David Palmer during an assassination attempt. My daughter can't even look at me. Every day I regret looking into the eyes of men, women and children knowing that any moment their lives might be deemed expendable in an effort to protect the greater good. I regret every decision or mistake that I might have made which resulted in the loss of a single innocent life. But do you know what I regret the most? Is that this world needs people like me...."
Huyu mwambA siwezi msahau kamwe....
Kwakweli alitisha sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom