Series (Special thread)

Series (Special thread)

Kwente list yako zote nimezicheki kasoro The handmaids tale, ozark, fago na The kilings.
Ongezea
Better call soul, ina actors wengi wa breaking bad, wametumia mjina na roles zilezile za kwenye breaking bad.

Picky blinders hii nimpya ila ishafika season 4 ukichek lazima uiweke kwenye top 3 zako


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuh,hiyo "The americans" nimeangalia episode 5 naona imepoa sana!Naona kama haina story ya kueleweka!
Seems unapenda sana mambo ya assault ambayo kwenye Real Spy Stuff, sio rahisi kuyakuta!!
 
Nimeicheck Homeland seasons zote kasoro inayoendelea maana mi nasubiri season nzima iishe ndo nishushe mzigo wote.

Kuna series ya The blacklist wew download season 1 episode 1 uone unyama wa Raymond Reddington kabla ya kushusha mizigo mingine.
FBI inamtafuta the most wanted Raymond Reddington sasa jamaa anaamua kujikamatisha hadi FBI wanashangaa inakuwaje uyu mtu kajileta mwenyewe sasa hapo jamaa anaingia nao deal kwamba atawatajia blacklisters wote wanaoisumbua USA ila anataka katika iyo team awepo mdada mmoja ambaye ni mwanae ila uyo sister hajui chochote ila cha kushangaza inakuja kugundulika huyu si Raymond Reddington je huyu mtu ni nani? Na huyo dada mama yake alikua jasusi wa urusi ambaye alikua mpenzi wa Raymond Reddington wakati alipotumiwa afanye mission USA inasemekana amekufa ila kumbe yupo hai na je yupo wapi? Na huyo dada ambaye ni mtoto wa Raymond Reddington ana mume wake ila uyo mumewe ni hitman na katumwa ili amchunguze uyo dada je, katumwa na nani? Kuna jasusi mwingine yupo Russia ambaye anabeef na Raymond nae anasema uyo dada si mtoto wa Raymond bali ni wake je uyo sister ni mtoto wa Raymond au jasusi la kirusi?
Raymond ni mtu mwenye connections zote ndani ya USA na nje so ana mtu wa kufuta ushahidi akifanya tukio, ana accountant, ana bodyguard huyo hacheck kutoka Africa anaitwa Dembe So ni bonge la series ilo man na humo kuna mabeef kati CIA na FBI humo ni kama yote.
Naomba link ya kushusha Homeland, nisogeze wikendi

Sent using my Audi A6 2017 model
 
Io breaking bad mnaipaisha sana kuliko ilivo yenyewe...huwez ikinganisha na 24 ama preason break...
Io fargo sasa iko kawaida sana

Sent using Redmi7
Itakuwa uliangalia episode 2 ukaiacha
Ila breaking bad ndo series namba moja hapa duniani sijajua kwa ulimwengun kama kuna sayari nyingine inatengeneza movies kama duniani .ila kama hamna nadiriki kusema "breaking bad is the best series at our Universe"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilijaribu kuanngalia the blacklist ikanishinda niliiona Kama haiko kiuhalisi, iko Kama mchezo wakuigiza,, kwaambaye hajawai kuiangalia siries inaitwa Dexter na mshauri aangalie kipindi hiki cha karantini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zilizopakuliwa Sana week hii
Screenshot_2020-03-31-20-43-32-84.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilijaribu kuanngalia the blacklist ikanishinda niliiona Kama haiko kiuhalisi, iko Kama mchezo wakuigiza,, kwaambaye hajawai kuiangalia siries inaitwa Dexter na mshauri aangalie kipindi hiki cha karantini

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kama money Heist tu.hizo ni series za kuangalia wakati ukisubiria series halisi zitoke

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mtu bado anabishana na Breaking Bad
Itakuwa uliangalia episode 2 ukaiacha
Ila breaking bad ndo series namba moja hapa duniani sijajua kwa ulimwengun kama kuna sayari nyingine inatengeneza movies kama duniani .ila kama hamna nadiriki kusema "breaking bad is the best series at our Universe"

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom