Philipo D. Ruzige
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 9,412
- 26,892
Jana nilianza jioni nikaChapa episode 4. Leo napiga 4 kabla ya kulala
Hii kitu ni habari nyingine kabisa..
Nimeirudia mara 2..
Nadhani ikitoka season ya 3 itabidi niirudie kuanzia mwanzo ili twende pamoja na s3