Series (Special thread)

Series (Special thread)

Wakuu vip Condor ishtoka Season 2?

The Bodyguard je kuna muendelezo...

Then nisaidieni series zinazoendana na hizo hapo juu...

Kwa sasa Naangalia The Americans inanipa burudani ya kutosha..

The Americans ni balaa, wale warussia ni noma
 
Hivi breaking bad nzuri.. niliangalia mpaka episode ya 4 nikaona inanichosha tu...

Na The Wire vip nayo.. naona inaelekea kunishinda maana hamna hamsha hamsha kabisa
Breaking bad inaanza kichovu baadae inachanganya katika ubora wa hali ya standard geji
 
Breaking bad nilikuwa nayo nikaicheki mpaka episode 5 nikaona inanipa usingizi nikaiacha..


Baadae nikaona watu wanaisifia sana....nikawa nawashangaa sana.

Kupitia pitia humu napo nikaona mnaisifia sana.

Ngoja nikaipakue tena upya niicheki maana nilikuwa na mzigo wote nika-delete.

Angalia tena mkuu ukishaizoea hutajutia
 
Napenda series Kama izi

Banshee
Strick back
The punisher
Lost
Power
Into the Badlands
The walking dead
Prison break

Kama Kuna nyingine ambayo ndani yake Kuna mi action ya kutosha plz nipe jina lake niishe leo

Note, zifuatazo tayar Nisha ziangalia lakin kwangu ni za kawaida

The last ship
GOT
Breaking bad/ money heist
FBI
Manifest
Dare devil
Marvel agent of shield
.
.
.
.
.
.
.
............
GoT ya kawaida mkuu?
 
Huwa nina hesitate kuianza the Americans, mnishauri please....!
Upo kama mimi, kila nikijaribu kuianza nahisi uchovu.
Kuna kipindi wakati GoT ipo hot nilishawishika namimi nianze kuichek, daaah niliishia episode 2 tu za mwanzo nikaona maruweruwe nkaipiga chini. Ila baada ya kukosa kabisa cha kuangalia nikabidi niirudie aiseee mbona nikawa mlevi wa GoT mazimaaaa
 
Upo kama mimi, kila nikijaribu kuianza nahisi uchovu.
Kuna kipindi wakati GoT ipo hot nilishawishika namimi nianze kuichek, daaah niliishia episode 2 tu za mwanzo nikaona maruweruwe nkaipiga chini. Ila baada ya kukosa kabisa cha kuangalia nikabidi niirudie aiseee mbona nikawa mlevi wa GoT mazimaaaa

hio got mnamaanisha gotham ama ???
 
Upo kama mimi, kila nikijaribu kuianza nahisi uchovu.
Kuna kipindi wakati GoT ipo hot nilishawishika namimi nianze kuichek, daaah niliishia episode 2 tu za mwanzo nikaona maruweruwe nkaipiga chini. Ila baada ya kukosa kabisa cha kuangalia nikabidi niirudie aiseee mbona nikawa mlevi wa GoT mazimaaaa
Uyu Mimi kabisa jamaa
 
GoT ya kawaida mkuu?

got si ya kawaida mkuu. subirinikuhabarishe kidogo tu kwa nini got ni bonge la series
1) kitu cha kwanza got character wake kila mmoja anajitegemea. tuchukulie mfano series zote character anakua mmoja na wengine wanamtegemea. ukiangalia preson yenewe, ukimtoa scofild character wote wanamtegemea yeye. maana yake bila yeye hakuna kission nyengine zinazoenda. inshort ni one man show lakini got iko tofauti.
2) kwa kila character wa got unaweza kutengeneza series nzima. chukulia mfano jon snow maisha aliyopitia unaweza tengeneza series, chukulia arya maisha yake unatengeneza series, chukulia deanary unaweza tengeneza series, chukua tyrion unaweza tengeneza serie. kwa iyo kila character ana sia ya pekee ya maisha aliyopitia
3) kila kingdom inajitegemea na ina mfumo wake wa maisha na pia ina historia yake imepitia
4) kwenye got kila linaloongelewa basi linahusu something na sio pumba tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom