leonardo da vinc
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 1,108
- 724
Ngoja nizijaribuDogs of berlin
No easy days
Ngoja nizijaribuDogs of berlin
No easy days
Yani we mkuu kama mimi itabidi niendelee maana niliishia ya 6Breaking bad nilikuwa nayo nikaicheki mpaka episode 5 nikaona inanipa usingizi nikaiacha..
Baadae nikaona watu wanaisifia sana....nikawa nawashangaa sana.
Kupitia pitia humu napo nikaona mnaisifia sana.
Ngoja nikaipakue tena upya niicheki maana nilikuwa na mzigo wote nika-delete.
Komaa nayo, Season 1 episode za awali zinaboa, ila Season 2 na kuendelea ni nzuri, utakuja kusimulia hapa.Breaking bad nilikuwa nayo nikaicheki mpaka episode 5 nikaona inanipa usingizi nikaiacha..
Baadae nikaona watu wanaisifia sana....nikawa nawashangaa sana.
Kupitia pitia humu napo nikaona mnaisifia sana.
Ngoja nikaipakue tena upya niicheki maana nilikuwa na mzigo wote nika-delete.
Na mimi niliiweka pending mara kadhaa ila baada ya masimulizi kuwa mengi nikakomaa nayo ilipofika season 2 baada ya Tuco kufa dah ilikuwa hatari nikapata maana ni kwa nini ina rates kubwa sanaKomaa nayo, Season 1 episode za awali zinaboa, ila Season 2 na kuendelea ni nzuri, utakuja kusimulia hapa.
Tena ya hela yoteKwamba kweli terrerium imerud?
Naipakuaje?Tena ya hela yote
Naipakuaje?
Daaah imekubali asee nilidhan masihara,daah thx sn chiefKama ulivoipakua mwanzo
Ni nzurii sana???? Au ndo kutumia PC tu ila hakuna mkonoo...BLACK MIRROR. (Season 1 to 4)
Hii series inaonesha dark side of technology, kila episode inajitegemea kabisa. Ila daah kuna mambo humu kuhusu technology ni noma, unaweza ogopa hata kutumia PC yako.
Apo n mm ndo imenshinda mkuu but try ii apa teatv aina tofaut n terranium kabsa yanIla inajivuta sana,khaaa mbona hainip link ya kudownloud??
AngaliaNapenda series Kama izi
Banshee
Strick back
The punisher
Lost
Power
Into the Badlands
The walking dead
Prison break
Kama Kuna nyingine ambayo ndani yake Kuna mi action ya kutosha plz nipe jina lake niishe leo
Note, zifuatazo tayar Nisha ziangalia lakin kwangu ni za kawaida
The last ship
GOT
Breaking bad/ money heist
FBI
Manifest
Dare devil
Marvel agent of shield
.
.
.
.
.
.
.
............
kuniona wapi mkuu??????"siku hizi mbona sikuoni "
Hakuna Mkono. Ni series inayoonesha jinsi gani technology inavoweza kutumika vibayaNi nzurii sana???? Au ndo kutumia PC tu ila hakuna mkonoo...