Pengobovu
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 482
- 546
Pamoja sana Boss...😊kiongozi umeniokoa sana yani vitu vinashuka ni balaaa....asante sana.
Pamoja sana Boss...😊kiongozi umeniokoa sana yani vitu vinashuka ni balaaa....asante sana.
Nauliza kujua kama nzur ili niitafuteKila mtu ana vigezo vyake mkuu sio lazima unachopenda wewe na mwingine apende
Nipo nzuri mkuu. Nilikuwa sikukuelewa ulimaanisha mini.Nauliza kujua kama nzur ili niitafute
Zipo kibao tu, wewe na hela yakoHivi town hamna wanaouza serious ambazo hazijatafsiriwa?
Hatari sanaNimeangalia "series" nyingi sana na katika hizo kuna zile ambazo ni nzuri kupita maelezo. Lakini leo nitaizungumzia GAME OF THRONES! kwangu mimi hii ni moja ya Series zilizochezwa vizuri sana, yaani kila muigazaji alibeba uhalisia wake.
Story yake ni nzuri sana na imejikita katika maisha ya kifalme ya siku za zamani ambapo tunaona jinsi familia saba za kifalme zilivyokuwa zikigombania madaraka(Iron Throne), kulikuwa na familia tisa kubwa katika nchi ya Westeroes lakini familia saba ndizo zilikuwa zikikigombea kiti cha Kifalme. Kila familia ina vituko vyake na hapo ndipo penye utamu hasa.
Huyu binti(Daenerys Targaryen) akiwa mdogo yeye na kaka yake wanakimbilia nchi ya mbali. Huko wanajipanga na kuamua kurudi kuuchukua upya Ufalme wa baba yao uliopinduliwa. Binti huyu anarudi akiwa na Jeshi linaloongozwa na Dragons. Jinsi walivyojipanga na kurudi hapo ndipo pana utamu wake pia!
Series hii imechezwa kwa akili sana kiasi huchoki kufuatilia tukio baada ya tukio. Kuna mengi sana yanafurahisha katika Series hii ikiwa ni pamoja na Cersei Lanister ambaye ni Malkia katili sana akiwa amezaa watoto na kaka yake!
View attachment 825769
View attachment 825770
Game of Thrones sasa hivi imefikia Season ya 7, na mwakani watatoa Season ya 8 na ya mwisho.
Hivi town hamna wanaouza serious ambazo hazijatafsiriwa?
Hiyo the 100 nimecheki season 1 ni moto... Hapa nshaishusha season 2...shameless, the 100, The American Horror Story
The 100 me naona kama season 1 na 2 ndo nzur sanaHiyo the 100 nimecheki season 1 ni moto... Hapa nshaishusha season 2...
Mkuu season gan nyingine inafanana na The 100?
Chukua breaking badHiyo the 100 nimecheki season 1 ni moto... Hapa nshaishusha season 2...
Mkuu season gan nyingine inafanana na The 100?
Me natumia halotel... buku Internet bure kuanzia sa 6 usiku... uki jumlisha na kasi ya net usiku ndo swafi kabisasijaona nyingi sana hapa
wadau mnatumia vifurushi gani kushusha series?
The Americans sijawahi kuielewa, tunatofautiana sana aiseee![]()
Poleni sana aisee!! Hiyo inatokea sana tu... binafsi nilishindwa kuzielewa zifuatazo!Hata Mimi mkuu
Babuuu Game of Thrones ni HABARI NYINGINE, Sijui hizo nyingine ulizotaja labda kaa tena kitako uiangalie ni nzuri Balaa.Poleni sana aisee!! Hiyo inatokea sana tu... binafsi nilishindwa kuzielewa zifuatazo!
-24
-Breaking Bad
-Games of Throne &
-The Walking Dead
Hizo zote nilikaa nazo kwa angalau mwaka bila kuziangalia baada ya kushindwa kuziangalia round ya 1, na zingine ya 2 na hata 3!!
Lakini hivi sasa hizo ni moja ya series zangu bora kabisa!!! Kuhusu The Americans niliielewa sekunde hiyo hiyo!!!




