Greg50
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 1,979
- 2,494
Si alikua zipped na dadaakeAkili zlkuja baada ya kuwa ziped, lakn alsha kuw brainwashed na baby wangu
Si alikua zipped na dadaakeAkili zlkuja baada ya kuwa ziped, lakn alsha kuw brainwashed na baby wangu
Hapo umeniacha, good fight bado sijaitia machoni.Ni kweli Bana. Nili mix madesa. Series zangu 2 jmos na jumapili the good fight. Can't wait to see kabishi kangu lucca
Owh king wa oution za black market yule, pamoja na kumweka mle lakn bado ni danger to the FBIwapiii wakati rich.com anafungiwa kwenye kichumba chake kile ambacho Patterson alimfata ili amsaidie kutoroka
Exactly, ss unaona dada anamfmbua macho kaka,,, izo ni akil kwelSi alikua zipped na dadaake
Itakuwa ni mpaka uwe na u torrent nadhaniHiyo sio site ya Ku stream??
series inahusu sheriaHapo umeniacha, good fight bado sijaitia machoni.
Rich.comOwh king wa oution za black market yule, pamoja na kumweka mle lakn bado ni danger to the FBI
Ivi series gan yenye maudhui ya blindspotRich.com
Yaa imeanza kitambo ila inaendelea mpk leoDuh! X-File mbona ya kitambo sana!
Anyway, it's my favorite... ni UFO na Aliens stuff ambapo, a team of two, FBI Agent anayeamini katika mambo ya uwepo wa aliens alikuwa anafanya kazi na Doctor ambae habari za existence of aliens aliona ni stori tu zisizo na ukweli wowote!
Kulikuwa na matukio kadhaa yaliyokuwa yanatokea ambayo Agent Fox aliamini yalikuwa yanafanywa na aliens huku dokta akitakiwa kutumia utaalamu wake kuthibitisha shaka ya Agent Fox.
Anyway, siikumbuki vizuri kwa sababu ni ya kitambo sana lakini ni bonge la series.
Basi ile mini series ya 2016 itakuwa ilipata review mzuri na hivyo kuamua kuirudisha rasmi manake series yenyewe iliisha hata kabla JK hajawa rais!Yaa I mean anything kitambo ila inaendelea mpk leo
24 hours,the unit,strike back,the brave,the blacklistIvi series gan yenye maudhui ya blindspot
Hii series nzuri sana.
Hujakosea mkuuHii series nzuri sana.
Tulia nayo ni nomaBlacklist mbn naona yakichoko