Series (Special thread)

Series (Special thread)

Nani kacheki hii series maana nasikia ilikuwa kali sana lakin ikapigwa ban COINTAINMENT
 
Nan kaona x file tafadhali nisijepoteza mb zng
Duh! X-File mbona ya kitambo sana!

Anyway, it's my favorite... ni UFO na Aliens stuff ambapo, a team of two, FBI Agent anayeamini katika mambo ya uwepo wa aliens alikuwa anafanya kazi na Doctor ambae habari za existence of aliens aliona ni stori tu zisizo na ukweli wowote!

Kulikuwa na matukio kadhaa yaliyokuwa yanatokea ambayo Agent Fox aliamini yalikuwa yanafanywa na aliens huku dokta akitakiwa kutumia utaalamu wake kuthibitisha shaka ya Agent Fox.

Anyway, siikumbuki vizuri kwa sababu ni ya kitambo sana lakini ni bonge la series.
 
Simtaki Rich dot com mfupiandunje yule. Wale wanatudi march 9 baba. Amerudi mzee baba the president, designated kesho hapo.
Haha nilishasahau we una homa na maandunje, basi ngoja nikupe Reed japo huyu jamaa simkubali kabisa yaani yupo serious kila saa mpaka anaboa. Alafu hawa nao ijumaa hii hapa ya 2 March tupo nao episode ya 13, sio tarehe 9 .
 
My favorite TV shows
The unit. 24
Prison break
24 legacy
The black list
The last ship
Queen of the south
Strike back(now season6)
Power
Shooter
Six
Blindspot
Designated survivor
Hostages
Seal team
Narcos
Finding Escobar's millions(documentary)
The brave
Valor
American odyssey
Arrow
Transporter(Frank martin)
Banshee
El chapo
The punisher
Lethal weapon
Macmafia
Drug lords
Homeland
Agent X
Tyrant
Quantico
The night of
Blood and oil
Betrayal
Secret and lies
Hatari sana hii list
 
Haha nilishasahau we una homa na maandunje, basi ngoja nikupe Reed japo huyu jamaa simkubali kabisa yaani yupo serious kila saa mpaka anaboa. Alafu hawa nao ijumaa hii hapa ya 2 March tupo nao episode ya 13, sio tarehe 9 .
Ni kweli Bana. Nili mix madesa. Series zangu 2 jmos na jumapili the good fight. Can't wait to see kabishi kangu lucca
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom