Series (Special thread)

Series (Special thread)

Max unachekesha. Pita mitaa ya Tandalie CCM. Tandika, Mbagala, Kongowe, Tuangoma, Vingunguti, watu wanaangalia kwenye Vibanda umiza, hizo bongo muvi na movie nyingine za kiDHUNGU Zikiwa zimetafsiriwa uzuuuuuur na wataaalam kutoka mwanza na arusha Infact sio tafsiri bali Ni kusimuliwa
wanasimuliwa
 
Bongo vipaji vipo ila havijiendelezi,wale unaowaona ambao mimi wewe na Maserati tunawapenda wanakwenda shule,si producers si waigizaji,na wanaskilizana,sisi huku muigizaji hajaenda shule,though ana kipaji lakini pia hashauriki.
Ukiangalia hao wenzetu kuna mtu amebobea kwenye utungaji,kuna wa script,kuna producer kuna muigizaji.
Kweli kabisa. Huku mtu anajiamulia tu mimi naigiza,akishaonekana ana sura nzuri wakishakula mzigo kesho unamuona na yeye anavaa vinguo vya mdogo wake vidogo kutuonyesha viungo vyao mbele ya kamera..wiki moja movie tayariii. Mxiuuuuuuu
 
Kweli kabisa. Huku mtu anajiamulia tu mimi naigiza,akishaonekana ana sura nzuri wakishakula mzigo kesho unamuona na yeye anavaa vinguo vya mdogo wake vidogo kutuonyesha viungo vyao mbele ya kamera..wiki moja movie tayariii. Mxiuuuuuuu
Yaani umewapatia kabisa, kwa mwendo huu bongo nitakubali mziki tuu ila movie sitapoteza pesa wala muda kufuatilia.
 
Kama hujaelewa Homeland s5 bac ujue genre kama hiyo hutaielewa milele
Kumbe mzee hukunielewa.
Nimekwambia "HAIKUNOGA"
Kwangu sikuiona kama ina mvuto,
Wewe unahisi haikueleweka.
Tofautisha kukosa mvuto na kutoelewa.
Na huo utabak kuwa mtazamo wangu,
 
Kumbe mzee hukunielewa.
Nimekwambia "HAIKUNOGA"
Kwangu sikuiona kama ina mvuto,
Wewe unahisi haikueleweka.
Tofautisha kukosa mvuto na kutoelewa.
Na huo utabak kuwa mtazamo wangu,
Sema ukiwa na njaa hii inaangalika
 
Kumbe mzee hukunielewa.
Nimekwambia "HAIKUNOGA"
Kwangu sikuiona kama ina mvuto,
Wewe unahisi haikueleweka.
Tofautisha kukosa mvuto na kutoelewa.
Na huo utabak kuwa mtazamo wangu,
Ko series gani iliyonoga kwako ya intelligence, crime, action?
 
Jana ndio imeanza episode 1
Screenshot_20180211-165924.png
official inatoka j3.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom