Greg50
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 1,979
- 2,494
Six mwenyewe nlijitahidi kuielewa lakini wapiSix mi sijawahi ielewa.
Six mwenyewe nlijitahidi kuielewa lakini wapiSix mi sijawahi ielewa.
Wamarekani ni wajanja wale yaani kama ni series ya kufichua siri zao watakapoanza mipango ya kuiact tuu itasitishwa haitafika mbali.Kuna baadhi ya shows huwa zinazuiwa kutokana na maslah ya nchi.
Kuna series iliwah kuishia season one tu lakini ilionekana inafichua siri za wakubwa USA ambao pamoja na kwamba ni viongoz pia wanauza silaha afrika kwenye black market na kunufaika na migogoro hiyo.
Six mwenyewe nlijitahidi kuielewa lakini wapi
Mkuu Berlin Station, naweza ipata wapi s1ep1?berlin station,the blacklist
Yeah, show za hivi zipo nakumbuka moja inaitwa American Odyessy ya 2015 labda ndio unayoizungumzia , yaani zinaonesha kabisa the way hawa wakubwa wanaprofit from black ops wanzofanya overseas.Kuna baadhi ya shows huwa zinazuiwa kutokana na maslah ya nchi.
Kuna series iliwah kuishia season one tu lakini ilionekana inafichua siri za wakubwa USA ambao pamoja na kwamba ni viongoz pia wanauza silaha afrika kwenye black market na kunufaika na migogoro hiyo.
Ndo hiyo hiyo,niliifuta baada ya kuskia haitaendelea,ni show mbaya kwa image yao wale jamaa,wapo makini sanaYeah, show za hivi zipo nakumbuka moja inaitwa American Odyessy ya 2015 labda ndio unayoizungumzia , yaani zinaonesha kabisa the way hawa wakubwa wanaprofit from black ops wanzofanya overseas.
Nadhani hata hii Valor haitaendelea




1337x.toJamani mwenue Berlin Station season 1 ep 1 anisaidie link ni download au ani pm plz
Noma sana, wakifanya waarabu wanaita terrorism wakifanya wao wanaita 'modern warfare' , ila ndio hivo tena hamna namna inabidi tuangalie tu maana kwenye tasnia wao ndio wajuzi kushinda wengineNdo hiyo hiyo,niliifuta baada ya kuskia haitaendelea,ni show mbaya kwa image yao wale jamaa,wapo makini sana![]()
Wamarekan wametuweza sana hapo hatuchomoki.Noma sana, wakifanya waarabu wanaita terrorism wakifanya wao wanaita 'modern warfare' , ila ndio hivo tena hamna namna inabidi tuangalie tu maana kwenye tasnia wao ndio wajuzi kushinda wengine
We jamaaa tuko njia moja naonaSix mwenyewe nlijitahidi kuielewa lakini wapi
Na wanavyoji proud kila series au movie wanazozifanya wao wanaibuka washindi kuwaoiga mataifa mengine yalioact kama wapinzani kwao.Wamarekani ni wajanja wale yaani kama ni series ya kufichua siri zao watakapoanza mipango ya kuiact tuu itasitishwa haitafika mbali.
Lakino wapo smart kwenye kuigiza,ujue kuna mda unaweza ukadhani its reality.Na wanavyoji proud kila series au movie wanazozifanya wao wanaibuka washindi kuwaoiga mataifa mengine yalioact kama wapinzani kwao.




Ila SDG ujue nakuheshimu. Naomba usiingizie mifano ya bongo movie Nini anaangalia kushoto na kulia avuke Barbara,jambazi anavua viatu...mie sitakiiiLakino wapo smart kwenye kuigiza,ujue kuna mda unaweza ukadhani its reality.
Hawana choyo, hawana ubaguzi,angalia the brave pale kuna waarabu, pale kuna watu wanaoproduce wengine ni watu wa far east.
Na wanawekeza hela kwenye kuandaa, wameigizia Iran,Syria,Colombia,Mexico,Nigeria,Ufaransa,Spain na Us kwenyewe.
Lakini pia wanachokiigiza kina make sense,yale maneno wanayoongea utadhan hawajayakariri.
Nikimuangalia Preach,kwenye Banshee aliigiza as Banshee County Sheriff aliimudu vizur tu,leo ameigiza as SEAL member nako amemudu tena mtu wa mipango balaa.
Sisi huku mtu anataka kila siku aigize BOSS
Yaani aaargh washindege tu
Wanaangalia sana sizoni
Bongo vipaji vipo ila havijiendelezi,wale unaowaona ambao mimi wewe na Maserati tunawapenda wanakwenda shule,si producers si waigizaji,na wanaskilizana,sisi huku muigizaji hajaenda shule,though ana kipaji lakini pia hashauriki.Bongo bado sana aisee, vipaji vipo ila madirector na maproducer wazuri hakuna kabisa