Series (Special thread)

Series (Special thread)

Wanaweka sura ya kazi kabisa..hawa bahatishi aisee
Huwez kuniangalizisha Bongo Movie hata kidogo.
Wacha niendelee kusapot kazi za WASANII.
Siwez kuwasapot WAIGIZAJI WA WASANII.
Bongo movie labda kwenye basi la mkoani
 
Huwez kuniangalizisha Bongo Movie hata kidogo.
Wacha niendelee kusapot kazi za WASANII.
Siwez kuwasapot WAIGIZAJI WA WASANII.
Bongo movie labda kwenye basi la mkoani
Sina hata mood nao aisee. Bongo movie wamentoka rohoni
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Sina hata mood nao aisee. Bongo movie wamentoka rohoni
Hata mitaani hao layman wapo busy na "SEASON"
Wenyewe hawait series wanaita SEASON hasa za kikorea ambazo zimetafsiriwa,sasa ukishapoteza soko la USWAHILINI huwez pata la middle class
 
Tena zina tamkwa sizoni..
_20170923_144320.JPG

He he heee,
Bongo muvi naona imepotea kwenye libraries,
Sizoni ndo imejaa
 
Mimi six niliielewa sana..
Ambayo ilipita kushoto ni strike back.. yan ile system ya kila episode kuwa na mission yake huwa siipendi sana
Jana strike back imeendelea episode 07 ya season 6
 
kuna watu bado wanaangalia bongo movie kweli

Max unachekesha. Pita mitaa ya Tandalie CCM. Tandika, Mbagala, Kongowe, Tuangoma, Vingunguti, watu wanaangalia kwenye Vibanda umiza, hizo bongo muvi na movie nyingine za kiDHUNGU Zikiwa zimetafsiriwa uzuuuuuur na wataaalam kutoka mwanza na arusha Infact sio tafsiri bali Ni kusimuliwa
 
Mimi six niliielewa sana..
Ambayo ilipita kushoto ni strike back.. yan ile system ya kila episode kuwa na mission yake huwa siipendi sana
Na kweli hii system ya kila episode tofauti inaboa sana, kunakua hamna stori ya kufatilia, yaani episode ikiisha hutamani kuangalia the next one.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom