KaribuHodi! Hodi! Wenyeji.
Naomba kukaribishwa rasmi. Walevi wakuu katika hiki kigenge ni nani? Kwa fasta fasta nimewaona man of steel na espy.
Nimetoka kucheki trailer lake YouTube sasa hivi, ni type yangu kabisa hii nitaipakua, shukrani Mase mwenye rati zake kwa kusaidia kushare.
Yaani,nimeianza episode one,i know in some sort of uongo kidogo lakini. And nimeipenda zidi story. Naendelea kupakua,njema zaidi mzigo mzima wa s01 upo kamili.Nimetoka kucheki trailer lake YouTube sasa hivi, ni type yangu kabisa hii nitaipakua, shukrani Mase mwenye rati zake kwa kusaidia kushare.
Genre gani hiyo seriesYaani,nimeianza episode one,i know in some sort of uongo kidogo lakini. And nimeipenda zidi story. Naendelea kupakua,njema zaidi mzigo mzima wa s01 upo kamili.
Naifuatilia tangu imeanza mama.
Nimeikubali hatariNaifuatilia tangu imeanza mama.
Ina story tamu.Nimeikubali hatari
link pleaseWahenga walisema kizuri share na wenzio, kama wapenda series na movie nawashauri muangalie hii series SABURRA.
Kama mtuu ulivutiwa na Narcos basi hii pia utaipenda zaidi sema hii imeigizwa kwa kitaliano Kuna umafia wa hali ya juu na watu wa Kama akina Pablo Escobar, cartels na agent PENA humu.
Kama kwenye Narcos tuliaanza kuelewa kispanish mjiandae pia na humu kufahamu kitaliano.
Dah afu kwel imekuwa tofauti kabisa yan na season 1Pepeee peeeppeee nyingi sana. Wamekuwa mapupets
Ni 24 hrs hiyoMm sizijui..
Nilikuta tu CD ya seaso 3 24hr mm nikapitia tuu..
Ilikua wakina Jack Baur,Tony almeida,Chase edmunds,Michelle,Chloe, Adam wanapambana na Isue ya Viruses sasa sijui hata season 4 inafata nn na hiyo Legacy inaanza namba ngapi..?
Nipe hata highlight
ilo series ni zaidi ya storyGame of throne - wale night walker wamepata dragon sasa utamu wa movie nadhani unakaribia kuisha
nnazo zote ..nipo mwanzaKweli bab umeangalia nyingi sana, mie nna shida na hiyo vikings, kama upo dsm nielekeze niifate kama unayo yote kuanzia season 1
nimemmis OCTAVIA kiinooomanomaaaaaNimeimiss sana the 100