Series (Special thread)

Series (Special thread)

Nimetafuta humu sikuona special thread kwa ajili ya series ila movies.

Kwa wale wapenzi wa series tujadili hapa series tulizoona na ilivutia,pia wengine ambao hatujui baadhi ya series tunaweza kupata hapa majina ya series mpya.

Kwa upande wangu hizi ni baadhi ya series nilizongalia na zimenifurahisha.

1.Leverage
Hio leverage kilichoniboa ni yule i.t yani anafanya vitu ambavyo kwa hali halisi haviwezkani...boring
 
Kuna hizi series pia, pse zitazameni
  • Tin Star
  • Surviving Escobar
  • Ozark
  • Narcos
  • Better Call Saul
  • Marseille, ya Kifaransa, tafuta zenye Eng. Subs
 
Jamaa aliuliwa familia yake yote kilichofata mungu anajua humo, anakinukisha vibaya sana anafanya revenge.

Naweka msisitizo kinachofata baada ya kuuliwa familia yake ni Mungu anajua, itafte hiyo utarudi tuu hapa.

KEYWORD: MUNGU ANAJUA.
Nimeangalia episod moja mpk dakika 20 lakin nimeamua kusitisha ili niipakua yte,ha ha ha ha
 
Wakuu naona hii LAST SHIP ni hatari sana sio siri.
Ha ha ha ha it's my favourite jamani. Mbaya zaidi mwakani wanamalizia season 5 nitaugua mimi. Kwanini wasiendelee kama supernatural janami imefika zaidi ya kumi na kitu huko.
Umechelewa kujua japo sio mbaya umeiona,,,namshukuru Maserati aliniambia hii
 
Nimetafuta humu sikuona special thread kwa ajili ya series ila movies.

Kwa wale wapenzi wa series tujadili hapa series tulizoona na ilivutia,pia wengine ambao hatujui baadhi ya series tunaweza kupata hapa majina ya series mpya.

Kwa upande wangu hizi ni baadhi ya series nilizongalia na zimenifurahisha.

1.Leverage
2.Breaking bad
3.Prison break
4.Burn Notice
5.Lost
6.Revolution
7.How to make it in America
8.How I met your mother
9.Martin
10.Community
11.Walkind dead

Hizo ni baadhi tu..


UPDATES ZA SERIES TOFAUTI KUTOKA KWA WACHANGIAJI KWENYE THREAD.
New tv series nnazozipenda.

1.The last kingdom
2.Narcos
3.Quantico
4.blindspot
5.the bastard executioner
6.limitless

7. jessica jones
8.the returned
9.Tyrat
10.Power
katika series nilizo zipenda sana
1.narcos
2.power kwasababu ya uhalisia mwingi hakuna uongo uongo tulio uzoea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom