Hujaona pale ambapo walikuwa wanakula kama kumuaga hivi baada ya ku graduate akasema hataki kuishi kwenye meli anataka akaishi nchini kwake? Baadae akaonekana alivamiqa akapigwa sana ndio akafa. Baba ake akaenda,akalia sana. From there baba ake ndio akaanza kutumia nostos.
Duh! Hizi makitu ni za mupya eeeh!! Nipo na mporipori wa 700s Ragnar wa Vickings kwanza, hizi za mupya ngoja nifugefuge kwanza zinenepe kama Hadija Kopa