donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,258
- 22,129
Kuna series flan nliiangaliaga kitambo inaitwa The Boondocks ya Riley na Huey freeman na babu yao 'granndaddy' aisee utacheka sana humo
Telegram noma sana kila kitu unapata unachotaka sijutii kuitumia hii appUkitaka quality nzuri bila kujiulza tumia app ya telegram mkuu kule kuna chanel kibao wanapost series kibao....
Weeee nitake radhi.. Tutakula nini akiacha kazi white house???Seth sijui anataka kuacha kazi





U mean Telegram hii ya same to Whatsapp? How does it operate?Telegram noma sana kila kitu unapata unachotaka sijutii kuitumia hii app
Yap hiyo hiyo Telegram iko vizuri sana kuna kitu kinaitwa channel ambazo zinakuwa unajoin kama vile movies,series,music,software etcU mean Telegram hii ya same to Whatsapp? How does it operate?
Yaani ana visa kama mke mwenza.Hahah, alinunua crates 60 za ile kenywaji sijui inaitwaje ilimradi tu pale ofisini kwao wasinywe
Hahah yaan ugentoman labda ru humu ukimwangalia kwenye harold & kumar ndio utajua baby wakko ni chizi kupitiliza.......Weeee nitake radhi.. Tutakula nini akiacha kazi white house???
Babe alitakiwa as PR na yule chalii but Emily kamrudisha kwenye mstari,do you know my babe is such a gentleman aliomba msamaha mbele ya waandishi wa habari...my seth

Weeee nitake radhi.. Tutakula nini akiacha kazi white house???
Babe alitakiwa as PR na yule chalii but Emily kamrudisha kwenye mstari,do you know my babe is such a gentleman aliomba msamaha mbele ya waandishi wa habari...my seth

Thanks, ngoja niongeze maujuzi. BarikiwaYap hiyo hiyo Telegram iko vizuri sana kuna kitu kinaitwa channel ambazo zinakuwa unajoin kama vile movies,series,music,software etc
Mi pia naikubali sanaTelegram noma sana kila kitu unapata unachotaka sijutii kuitumia hii app
Niliposoma kuhusu hii SEAL TEAM nikaona inaweza fanana na SIX. Umeshaa iangalia?mbona hii SEAL TEAM ipo kama series inaitwa SIX ilianza mwaka jana!!
Ndomana upati hamu ya mapenzi. Kwa hizi series hazikuachi salamaNilicheka pale walipokuwa wamejiandaa kwenda kumkaanga alafu wakakuta mwenzao ndio ashaajiriwa na prezida kishamkubali, ikabidi wawe wapole.
Umekosea kuquote au!!!Ndomana upati hamu ya mapenzi. Kwa hizi series hazikuachi salama
Umekosea kuquote au!!!

Scabobi or PANNS wale mataahira wananiathiri na mimi aisee
Scabobi or PANNS wale mataahira wananiathiri na mimi aisee
Nimebaki na mshangao tu!!
Hahahaaa!! Yaani wale wajinga kweli.Scabobi or PANNS wale mataahira wananiathiri na mimi aisee