Series (Special thread)

Series (Special thread)

Nimetoka kucheka vituko vya doctor tobius na happy wake. Hadi happy kaanza kurithi vituko vya mume wako..
Anakuambia scobibaespy go and watch it haloooo
Nishaiwatch mamii, happy eti nae ameanza kujifunza vichekesho.
Alinifurahisha toby lile dude lilivyotaka kuharibu halmashauri ya pale......
 
Wadau sasa najipanga nianze kucheck hiyo salvation Naona mmeisifia sana


Ila kuna good news nataka niwashilikishe hasa kwa wadau wanaotumia mtandao wa halotel mmeona hapo wadau

Hapa mwenzunu najipatia gb5 za internet kwa gharama nafuu kabisa na nimecheki movies na series za kutosha.

NB: unapata kwanza bando(ninahakikisha umepata kwanza bado) kisha unalipia
0758477251 waweza nipigia,nibip au ntumia meseji
Kiasi gan chief? Weka waz na mtandao
 
Nishaiwatch mamii, happy eti nae ameanza kujifunza vichekesho.
Alinifurahisha toby lile dude lilivyotaka kuharibu halmashauri ya pale......
Yaani nimecheka vibaya mno leo. Nimecheka sana sana.
 
Dem mwenyewe anajifanya anapenda wahuni watu wa roho ngumu
Umeona eeh.!! Aziama buana,kanichekesha alivyomwambi gorgio "that's your best line lover boy" halafu baadae kamchenjia gorgio hakuamini eti anamwambi Tom "you can't wait me for a second to finish this" alitaka kuchapa toto halafu anaona Tom kaja kuharibu..
 
Wadau sasa najipanga nianze kucheck hiyo salvation Naona mmeisifia sana


Ila kuna good news nataka niwashilikishe hasa kwa wadau wanaotumia mtandao wa halotel mmeona hapo wadau

Hapa mwenzunu najipatia gb5 za internet kwa gharama nafuu kabisa na nimecheki movies na series za kutosha.

NB: unapata kwanza bando(ninahakikisha umepata kwanza bado) kisha unalipia
0758477251 waweza nipigia,nibip au ntumia meseji
Mkuu hapo sijaona jipya Tsh5000 kupata 5Gb kwa mwezi, plus dk na sms.

Wakati mimi nina line ya chuo kwa mwezi napata 10Gb plus dk na sms kwa Tsh9999. Naona kama ni the same thing.
Series na movie nashusha kwa bando la usiku 10Gb kwa Tsh1500 12am to 6am

Hebu nishawishi vizuri nikutafute.
 
Mkuu hapo sijaona jipya Tsh5000 kupata 5Gb kwa mwezi, plus dk na sms.

Wakati mimi nina line ya chuo kwa mwezi napata 10Gb plus dk na sms kwa Tsh9999. Naona kama ni the same thing.
Series na movie nashusha kwa bando la usiku 10Gb kwa Tsh1500 12am to 6am

Hebu nishawishi vizuri nikutafute.
Unaweza fanya uchaguzi sahihi mkuu kazi ni kwako
 
Baadhi ya Series zangu zimerud
Empire Season 4 Released
Designated Survival Season 2 Released.

Kuna hii naona Mpya inaitwa Seal Team sjajua itakuwaje ila naona ni nzur
 
Mkuu hapo sijaona jipya Tsh5000 kupata 5Gb kwa mwezi, plus dk na sms.

Wakati mimi nina line ya chuo kwa mwezi napata 10Gb plus dk na sms kwa Tsh9999. Naona kama ni the same thing.
Series na movie nashusha kwa bando la usiku 10Gb kwa Tsh1500 12am to 6am

Hebu nishawishi vizuri nikutafute.
Mtandao gani huu mkuu...?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom