mzee alpha
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 711
- 264
Salvation iko poa sana mkuu au ya kawaida?Wadau nimemaliza Salvation S1.. Naomba kitu kingne ambacho ctajutia mb zangu
Salvation iko poa sana mkuu au ya kawaida?Wadau nimemaliza Salvation S1.. Naomba kitu kingne ambacho ctajutia mb zangu
Alikomaa sana hata baada ya torture za kuventeMy name is Thomas Chendler,commander united state Navy,serial number 4242022634
Hapa napapendaga sana nikipachek lazima niparudie rudie
Kuna siri gan kati ya mdogo wao georgio na dingi yao dr velldek? Au mzee anamtifua mwanae? Maana anamkubali kinoma sijui labda kama dr mwenzake. Nahisi wolf atakuja kumtifua yule sajini wa kikenya aliyesababisha georgio akakamatwa kindeziWadau nimemaliza Salvation S1.. Naomba kitu kingne ambacho ctajutia mb zangu
Mkuu kama pepa ww una A+
Halafu Captain Chendler body kama imepungua sana, mwili alio anza nao season one, sio mwili alio nao season two, and three.My name is Thomas Chendler,commander united state Navy,serial number 4242022634
Hapa napapendaga sana nikipachek lazima niparudie rudie
Wanazeeka mkuu,huon hata wale madogo waliookotwa kipind kile season 2 Leo wamekua wakubwa kbsaHalafu Captain Chendler body kama imepungua sana, mwili alio anza nao season one, sio mwili alio nao season two, and three.
Yaah nafaham mkuu...Wanazeeka mkuu,huon hata wale madogo waliookotwa kipind kile season 2 Leo wamekua wakubwa kbsa
Duuuuh!!!Wadau sasa najipanga nianze kucheck hiyo salvation Naona mmeisifia sana
Ila kuna good news nataka niwashilikishe hasa kwa wadau wanaotumia mtandao wa halotel mmeona hapo wadau
Hapa mwenzunu najipatia gb5 za internet kwa gharama nafuu kabisa na nimecheki movies na series za kutosha.
NB: unapata kwanza bando(ninahakikisha umepata kwanza bado) kisha unalipia
0758477251 waweza nipigia,nibip au ntumia meseji
Aiseee wolf atapiga aziama. Maana demu nae anafanya maajabu yule. HatariiiiKuna siri gan kati ya mdogo wao georgio na dingi yao dr velldek? Au mzee anamtifua mwanae? Maana anamkubali kinoma sijui labda kama dr mwenzake. Nahisi wolf atakuja kumtifua yule sajini wa kikenya aliyesababisha georgio akakamatwa kindezi
Kama miller ana midevu mwwenyewe..au diazWanazeeka mkuu,huon hata wale madogo waliookotwa kipind kile season 2 Leo wamekua wakubwa kbsa


imeniuma tu o'conor jamaniNimetoka kucheka vituko vya doctor tobius na happy wake. Hadi happy kaanza kurithi vituko vya mume wako..Duuuuh!!!





espy go and watch it halooooBrauan baric, season ya kwanza prison breakKAMA WEWE NI MKALI WA TV SHOW NANI ALISEMA HIVI NA NI KATIKA SEASON GANI
"""""""Scofield and his whole PI crew, they’re escaping"""""""""
yeah ilikua season ya kwanzaBrauan baric, season ya kwanza prison break
Nishaicheki taray iyo mkuuDah you must watch prison break season 5
Kale kadogo kashoga kale kalokuwa kanaliwa kibogayeah ilikua season ya kwanza
but aliesema ni David tweener